Kombo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,812
- 509
Wakubwa,
Hatimaye Makamba ndo hivyo tena kapitiwa na mkumbo wa mageuzi ndani ya CCM, Ninawasikitikia wale wote ambao maisha yao ndani ya Chama hicho yalitegemea kuwapo kwake. Tufikirie hatima ya upinzani hawa jamaa wakijipanga vizuri, na yale mafyongo ya enzi za Makamba yakakosekana, tutawawezaa???? Tuache unazi hapa!
Hatimaye Makamba ndo hivyo tena kapitiwa na mkumbo wa mageuzi ndani ya CCM, Ninawasikitikia wale wote ambao maisha yao ndani ya Chama hicho yalitegemea kuwapo kwake. Tufikirie hatima ya upinzani hawa jamaa wakijipanga vizuri, na yale mafyongo ya enzi za Makamba yakakosekana, tutawawezaa???? Tuache unazi hapa!