Tulikuwa na uchumi wa Malima-Malimanomics. Sasa tun a uchumi wa Mwigulu -Tozonomics

Zygot

JF-Expert Member
Apr 14, 2016
2,251
2,875
Kwa wale ambao hawajawahi kusikia uchumi wa Profesa Kighoma Ali Malima alipokuwa waziri wa fedha, mpango wake wa uchumi uliitwa Malimanomics. Inavyoonekana sasa tuna aina mpya ya uchumi unlioletwa na Mwigulu Nchemba Tozonomics. Kwa ujumla wanasiasa hawa wawili wanafanana kwa kulewa sifa za madaraka na vipato vitokavyo na misheni za ofisi zao.

Malima alikuwa profesa halali wa chuo Kikuu baadaye akawa ni mwanasiasa aliyeshindwa kuonesha usomi wake. Mwigulu ni mwanafunzi, aliyefanyakazi muda mfupi na akatamani kuitwa msomi, mbobezi na kuitafuta PhD. Anaipenda lakini ukweli ni kwamba hana uzoefu wa uchumi wa kisomi. Hajawahi kuchapisha lolote, chochote cha kujivunia mawazo yake ya kiuchumi. Kwa hii Tozonomics ni ajali tu.

INasikitisha kwamba TZ tumeshindwa kupata watu makini wanaoweza kuachana na sifa za uhuni ukorofi, urafi, nk. Hii Tozonomics, haitafika kokote labda tu kuwawezesha wao kuchota pesa za serikali. Hadi sasa hakuna tathmini yoyote ya mafanikio lengwa ya tozo ya mwanzo kwenye miamala.
 
v81.JPG
tozovx.jpg
 
Kwa wale ambao hawajawahi kusikia uchumi wa Profesa Kighoma Ali Malima alipokuwa waziri wa fedha, mpango wake wa uchumi uliitwa Malimanomics. Inavyoonekana sasa tuna aina mpya ya uchumi unlioletwa na Mwigulu Nchemba Tozonomics. Kwa ujumla wanasiasa hawa wawili wanafanana kwa kulewa sifa za madaraka na vipato vitokavyo na misheni za ofisi zao.

Malima alikuwa profesa halali wa chuo Kikuu baadaye akawa ni mwanasiasa aliyeshindwa kuonesha usomi wake. Mwigulu ni mwanafunzi, aliyefanyakazi muda mfupi na akatamani kuitwa msomi, mbobezi na kuitafuta PhD. Anaipenda lakini ukweli ni kwamba hana uzoefu wa uchumi wa kisomi. Hajawahi kuchapisha lolote, chochote cha kujivunia mawazo yake ya kiuchumi. Kwa hii Tozonomics ni ajali tu.

INasikitisha kwamba TZ tumeshindwa kupata watu makini wanaoweza kuachana na sifa za uhuni ukorofi, urafi, nk. Hii Tozonomics, haitafika kokote labda tu kuwawezesha wao kuchota pesa za serikali. Hadi sasa hakuna tathmini yoyote ya mafanikio lengwa ya tozo ya mwanzo kwenye miamala.
Ingekua poa sana km ungeielezea hiyo Malimanomics namna huyo Mzee wetu alivyofanya mafekeche yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malimanomics ni Ujamaa tu. Na Ujamaa ni sera za Nyerere huyo Malima alikuwa ni mtekelezaji tuu.
 
Kwa wale ambao hawajawahi kusikia uchumi wa Profesa Kighoma Ali Malima alipokuwa waziri wa fedha, mpango wake wa uchumi uliitwa Malimanomics. Inavyoonekana sasa tuna aina mpya ya uchumi unlioletwa na Mwigulu Nchemba Tozonomics. Kwa ujumla wanasiasa hawa wawili wanafanana kwa kulewa sifa za madaraka na vipato vitokavyo na misheni za ofisi zao.

Malima alikuwa profesa halali wa chuo Kikuu baadaye akawa ni mwanasiasa aliyeshindwa kuonesha usomi wake. Mwigulu ni mwanafunzi, aliyefanyakazi muda mfupi na akatamani kuitwa msomi, mbobezi na kuitafuta PhD. Anaipenda lakini ukweli ni kwamba hana uzoefu wa uchumi wa kisomi. Hajawahi kuchapisha lolote, chochote cha kujivunia mawazo yake ya kiuchumi. Kwa hii Tozonomics ni ajali tu.

INasikitisha kwamba TZ tumeshindwa kupata watu makini wanaoweza kuachana na sifa za uhuni ukorofi, urafi, nk. Hii Tozonomics, haitafika kokote labda tu kuwawezesha wao kuchota pesa za serikali. Hadi sasa hakuna tathmini yoyote ya mafanikio lengwa ya tozo ya mwanzo kwenye miamala.
Tuongelee Mwingulu tusimfananishe na Pro. Malima.

Malima ndo katengeneza mikakati ya kutuvusha kutoka kwenye ujamaa, ametuvusha kero ya Uhaba wa vyakula n.k

Huyu Mwingulu ni jamii ya vijana wa kujipendekeza ilhali hajui akifanyacho
 
Mwigulu kamatilia hapo hapo mpaka Akili za watz zirudi wajue kudai haki zao
 
Malimanomics ni Ujamaa tu. Na Ujamaa ni sera za Nyerere huyo Malima alikuwa ni mtekelezaji tuu.
Malimanomics ilikuja wakati wa rais Mwinyi. Malima alishageuka na kuwa mtu wa kuharibu mambo na uchumi ukawa hovyo! Sikumbuki baadhi ya mambo yake lakini naye alikuwa na vitu kama surtax kwa magari. Ni ulevi tu kama huu tunaoona kwa Mwigulu.
 
Back
Top Bottom