Mabreka
JF-Expert Member
- Aug 29, 2012
- 709
- 207
- Thread starter
- #101
mkuu mie hapa nataka ushauri zaidi,Wala hujakosea kama kazi yake ni kutumika, ila Namuomba Mungu akupe watoto wa kike na wachezewe na kuachwa kama wewe unavyowachezea wa wenzio.
Nimwache kiustaarabu na atafute maisha yake kwa aman sio kwa kinyongo