Tuliaswa tusitake kuwaelewa wanawake...Lakini hapa!!!!

Heshima mbele bandugu,

Nilipewa assignment na my wife wangu ya kuongea/kumweleza msichana wetu wa kazi kuhusu seriousness ya kusoma huku anafanya kazi na what it take to be a good mwanafunzi and all that, you know kama baba anavyoongea na mwanae anaekwenda kuanza shule (by the way, tumemuanzisha sekondari - form one, so ameanza preform one. Ni msichana amabye kwa wakati tofauti tumekuwa nae kwa zaidi ya miaka 6 sasa.)

Sasa baada ya kumaliza lecture yangu ya kama dakika tano hivi. My laazizi wangu akaendelea kuongea nae mambo ambayo mm sikutaka kuyaingiza kwenye wosia wangu kwa sababu niliona yamekaa kimama zaidi, so nikawaacha wayaongee.

Sasa ghafla tukiwa shambani usiku wakati tunataka kutekeleza sera(!!?)/slogani ya Kilimo kwaza, akaanza kunipa mm lecture kwmba ooh! wewe kama unamuona kama mmoja wa familia basi mm namchukulia kama mfanyakazi tuu...na mambo mengine mengi.

Nikakumbuka kuwa tunashauriwa tusitake kuwaelewa sana hawa wenzetu.wewe unasemaje?


Nafikiri huyo mwenzako hakuwa tayari kuendeleza sera yako ya kilimo kwanza - hivyo alikuwa anatafuta njia ya kubadilisha topic. Nina hakika baada ya kufanya hicho alichofanya akili ilihamia kwingine kabisa na kisha kujikuta asubuhi inakukaribisha ungali mkavu!

Wakati mwingine akikufanyia tena hivyo we jifanye mjinga, kubali haraka haraka kuwa lilikuwa kosa, kisha iue hiyo topic na urejee pale mlipokuwa. Dont take them too serious in everything 'they' say.
 
Heshima mbele bandugu,

Nilipewa assignment na my wife wangu ya kuongea/kumweleza msichana wetu wa kazi kuhusu seriousness ya kusoma huku anafanya kazi na what it take to be a good mwanafunzi and all that, you know kama baba anavyoongea na mwanae anaekwenda kuanza shule (by the way, tumemuanzisha sekondari - form one, so ameanza preform one. Ni msichana amabye kwa wakati tofauti tumekuwa nae kwa zaidi ya miaka 6 sasa.)

Sasa baada ya kumaliza lecture yangu ya kama dakika tano hivi. My laazizi wangu akaendelea kuongea nae mambo ambayo mm sikutaka kuyaingiza kwenye wosia wangu kwa sababu niliona yamekaa kimama zaidi, so nikawaacha wayaongee.

Sasa ghafla tukiwa shambani usiku wakati tunataka kutekeleza sera(!!?)/slogani ya Kilimo kwaza, akaanza kunipa mm lecture kwmba ooh! wewe kama unamuona kama mmoja wa familia basi mm namchukulia kama mfanyakazi tuu...na mambo mengine mengi.

Nikakumbuka kuwa tunashauriwa tusitake kuwaelewa sana hawa wenzetu.wewe unasemaje?

wanawake ni viumbe wajanja sana na wenye mitego ya kila namna. chunguza haya matatu.

a) alipokupa hiyo nafasi ya kuongea na mfanyakazi haukuwa ni mtego?
b) pengine baada ya mkeo kukupa hiyo nafasi alikuona umeifurahia na kuipokea kama mtu uliekuwa unaisubiria muda mrefu hivyo kwenye moyo wake kukaingia maradhi ya dhana fulani.
c)kama sio hayo hapo juu basi pengine ana jambo lake binafsi amelificha moyoni na hivyo anatafuta vijisababu vya kuleta mgogoro ndani ya nyumba (nakuombea lisiwe hili)

quiet
 
Prevention is better than cure.. mbona mnakuwa wakali jamani na viumbe sisi.. my wife alikuwa anajaribu kutuma ujumbe sasa tatizo lipo wapi? Au mnataka kutuambia si kweli my husband wengi hodari wa kumega hao under age/housegirl.. my wife anaweza kweli akamsaidia huyo housegirl kujiandaa na maisha lakini mara nyingi shukrani atakazopata ni hasira ya kuua mtu.
 
na kwa namna ulivyoongea na beki tatu wako,niamini brother UMEONGEZA VIONJO VYA MSINGI SANA KWENYE MAPENZI YENU NA WIFE!kwa sasa atakuwa extra careful kuhakikisha anakuhandle yeye mwenyewe.

kudos!
nb:unaonekana ni fundi sana wa kutongoza
 
kuna wanawake wenye bahati sansa yaani wanapata hata ule muda wa kuwadrive waume zao crazy? wengine ni sisi tulokuwa tunadriviwa ati!

...:eek: mbona unaongea kwa past tense mydear, ...shemeji amesha 'Rest In Peace?'

U got it right Kimey, this kid has a problem, sijui hata maendeleo yake shuleni yakoje huyu.

...:D:D:D ...Carmel wewe ni kiboko, duh!

Heshima mbele bandugu,

Nilipewa assignment na my wife wangu ya kuongea/kumweleza msichana wetu wa kazi kuhusu seriousness ya kusoma huku anafanya kazi na what it take to be a good mwanafunzi and all that, you know kama baba anavyoongea na mwanae anaekwenda kuanza shule (by the way, tumemuanzisha sekondari - form one, so ameanza preform one. Ni msichana amabye kwa wakati tofauti tumekuwa nae kwa zaidi ya miaka 6 sasa.)

Sasa baada ya kumaliza lecture yangu ya kama dakika tano hivi. My laazizi wangu akaendelea kuongea nae mambo ambayo mm sikutaka kuyaingiza kwenye wosia wangu kwa sababu niliona yamekaa kimama zaidi, so nikawaacha wayaongee.

Sasa ghafla tukiwa shambani usiku wakati tunataka kutekeleza sera(!!?)/slogani ya Kilimo kwaza, akaanza kunipa mm lecture kwmba ooh! wewe kama unamuona kama mmoja wa familia basi mm namchukulia kama mfanyakazi tuu...na mambo mengine mengi.

Nikakumbuka kuwa tunashauriwa tusitake kuwaelewa sana hawa wenzetu.wewe unasemaje?

...aisee,

hupo peke yako,

jinsi ulivyoiweka hii, alikutega ukategeka, halafu kakutega tena!
Maisha ya ndoa ni kama mchezo wa Draft aisee, ...check your moves kabla
hujasogeza kete, ..utaliwa mpaka kingi uwaachie kicheko watizamaji.

Akitega, tegea!
 
Sio siri wanawake ni wake zetu lakini anaweza akakudrive crazy hata kazi ukashindwa fanya, kabla hujaoa wanakuwa safi, akishaingia ndani babake utamkoma, halafu uharibifu wao ni maneno na chokochoko za kukuumiza tu, mi nshasema inabidi niwe nao wawili atleast waoneane wivu may be will help,wapo kama magaidi wanavyo-operate
Welcome to the club ..dawa ya moto ni moto na dawa ya mwanamke ni mwanamke wahenga walisema...
 
na kwa namna ulivyoongea na beki tatu wako,niamini brother UMEONGEZA VIONJO VYA MSINGI SANA KWENYE MAPENZI YENU NA WIFE!kwa sasa atakuwa extra careful kuhakikisha anakuhandle yeye mwenyewe. kudos!nb:unaonekana ni fundi sana wa kutongoza
Mmmhhhh hujambo wewe
 
Back
Top Bottom