Tulia Ackson umepotosha umma: Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi ya Tanganyika, Zanzibar wana mkuu wa nchi yao

Nimemsikiliza ndugu Tulia Ackson akisema kuwa Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi.

Ukweli ni kuwa mamlaka ya rais wa Tanzania yako limited sana huko Zanzibar

Hata katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 iliyorekebishwa mwaka 2010 inatamka wazi kuwa Rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar.

Kwa hiyo kwa muktadha huo ni sahihi kusema kuwa Rais wa Tanzania ni mkuu w Tanganyika iliyovaa koti la muungano lakini si mkuu wa nchi ya Zanzibar

Hata Kiprotokali, Rais wa Tanzania awapo Zanzibar kiitifaki Rais wa Zanzibar huwa yuko mbele yake

Naweka hapa katiba ya Zanzibar inayotamka wazi kuwa rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar

View attachment 2077741
Si kosa lake, huyu ni naibu spika wa bunge la Tanganyika.
 
Kwa kujikomba kule akipewa uspika ni afadhari arudi ndugai tu.kimsingi bunge ni uharibifu wa raslimali za taifa.
 
Jeshi linampigia mizinga 21 Rais wa Zanziba kama wa Tanzania.
Yani NINAMSHANGAA sana mtu anahoji hivi vitu
Kwani Nyerere walipokutana na Karume waliunganisha Nchi na Mkoa au ulikuwa mkataba wa Kimataifa baina ya two sovereign states
najua hii inatokana na matamanio ya kuona nchi moja hilo halipo wazanzibar washakataa full stop 🛑
 
Nimemsikiliza ndugu Tulia Ackson akisema kuwa Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi.

Ukweli ni kuwa mamlaka ya rais wa Tanzania yako limited sana huko Zanzibar

Hata katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 iliyorekebishwa mwaka 2010 inatamka wazi kuwa Rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar.

Kwa hiyo kwa muktadha huo ni sahihi kusema kuwa Rais wa Tanzania ni mkuu w Tanganyika iliyovaa koti la muungano lakini si mkuu wa nchi ya Zanzibar

Hata Kiprotokali, Rais wa Tanzania awapo Zanzibar kiitifaki Rais wa Zanzibar huwa yuko mbele yake

Naweka hapa katiba ya Zanzibar inayotamka wazi kuwa rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar

View attachment 2077741
Unajua kuwa Mwinyi aliapishwa kama sehemu ya baraza la mawaziri?. Unaelewa maana yake lakini?.

JPM aliamua kumdhalilisha Mwinyi kwa sababu alionekana kwenda kinyume na falsafa zake.
 
Mtu kama hujui kitu si unyamaze tu,

Kama mleta mada hapa hajui lolote anaishia kupotosha watu.
 
vizazi vilivyoshabikia Muungano wa magumashi vinazidi kutoweka taratibu . Kuna siku Moja Zanzibar itajipatia haki yake ya kujitegemea kama nchi bila hizi dharau . Time will tell .💪🏾
 
Nimemsikiliza ndugu Tulia Ackson akisema kuwa Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi.

Ukweli ni kuwa mamlaka ya rais wa Tanzania yako limited sana huko Zanzibar

Hata katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 iliyorekebishwa mwaka 2010 inatamka wazi kuwa Rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar.

Kwa hiyo kwa muktadha huo ni sahihi kusema kuwa Rais wa Tanzania ni mkuu w Tanganyika iliyovaa koti la muungano lakini si mkuu wa nchi ya Zanzibar

Hata Kiprotokali, Rais wa Tanzania awapo Zanzibar kiitifaki Rais wa Zanzibar huwa yuko mbele yake

Naweka hapa katiba ya Zanzibar inayotamka wazi kuwa rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar

View attachment 2077741
Ma bushlawyers wamejaa ndio maana tanzannia kila mtu ni mjuaji.
Kuna kitu 'taifa' 'sovereign state' na kuna kitu 'nchi'. Zanzibar ni nchi lakini sio taifa. Na tanzania ni nchi na ni taifa. Ina maana pamoja na zanzibar ni nchi sio taifa.
Kwa mfano wakati tanganyika na zanzibar tuko chini ya himaya ya waingeteza kama makoloni tulikua ni nchi za tanganyika na zanzibar. Nchi ambazo si mataifa bali makoloni ya uingereza.
Kwa hivyo tulia akisema samia ni mkuu wa nchi ana maana ni mkuu wa taifa huru la tanzania.
Zanzibar si nchi huru 'sovereign nation' bali ni nchi sehemu ya taifa huru la tanzania.
 
Kwa hiyo Mandela alipata nini?

Rais mweusi South Africa?

Kwamba hilo ndilo lilikuwa hitaji la watu wa SA?
Kubwa wabaguzi walijua ubaguzi ni kitu kibaya hatimaye mtu meeusi alionekana ni mtu kama walivyo wazngu.
 
Back
Top Bottom