Tukutane hapa kwa walioshindwa ku-root simu zao

infix note 3 tumia iroot
Ku root ni 50%-50% kuiua simu au kupona. Ukifanikiwa ushukuru Mungu ila ni kitendo chenye risk sana maana kuna apps zingine zinashindwa kuendana na aina ya simu. Kuna mshikaji kaisha ua simu mbili na zote kaua baseband. Simu ya kwanza imei number ika corrupt. Ukicheck imei number inaandika null na network ndio imekata kabisa. Akapata simu nyingine nayo aka root ikafa pia imei number, hawezi kupiga simu wala kupokea simu wala meseji wala kufungua data haiwezikana. Kuwa makini na kuroot, japokuwa ukifanikiwa kuroot una enjoy sana simu kutokana na kuweza kuingiza apps yoyote uitakayo na pia unaweza ku down apps zinazouzwa ukaipata bure kabisa.

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Kuroot simu maana yake ni
kumuezesha au kumpa
mamlaka yote mtuamiaji wa
simu ya android kuongeza,
kupunguza au kurekebisha
mfumo mzima wa android software. Pengine hapo
utakuwa unajiuliza mbona mimi
naweza kutoa au kuongeza apps
au kubadilisha settings za simu
yangu bila hata kuroot simu? Jibu ni kwamba uki root simu
yako ya android utaweza
kufanya mambo mengi sana
kwenye simu yako na kuifanya
simu yako iwe kama wewe
unavyo taka. Mfano, unapo nunua simu yako dukani ikiwa
mpya kabisa na baada ya
kuiwasha utagundua tayari kuna
apps zimekwa kwenye simu na
unapo jaribu kuzitoa huwa
hazitoki. Kwa mfano, simu za samsung huwa zina apps kama (chatOn, S voice, S Planner) na nyinginezo ambazo unakuta
tayari zimeshawekwa kwenye
simu na mdaa mwingine
hauzitaji na ungependa uzitoe
lakini hazitoki. Sasa hapo ndipo
faida moja ya root inapokuja. Ukiwa ume root simu, basi
utaweza kutoa app yoyote mdaa
wowote bila kujali kama
ilikuwepo pale uliponunua simu
yako Faida nyingine ya kuroot ni
kuongeza ufanisi wa simu yako
ya android. Mfano mzuri tazama
picha chini. Picha ya kushoto ni
My files (file manager) ambayo
ipo kwenye simu aina zote za Samsung Galaxy S4. Picha ya
kulia ni file manager ambayo
natumia mimi kwenye samsung
galaxy s4. Sasa utajiuliza
mbona file manager yangu ni
tofauti na ile iliyopo kwenye simu za samsung galaxy s4?
Swali lingine linakuja kwamba
file manager iliyopo upande wa
kulia inatumika kwenye
Samsung Galaxy S6 na S6 edge
pamoja na Note 5. Sasa utajiuliza inawezekana vipi mimi
kutumia file manager iliyopo
kwenye S6 kwenye S4 yangu?
Jibu ni kwamba uki root simu
mambo kama hayo
yanawezekana bila shida. Faida nyingine ni kuipa ulinzi
imara simu yako. Hapa nina
maanisha hata kama simu yako
imeingia baadhi ya apps
ambazo zinahatarisha ulinzi wa
simu yako basi kwa kupitia root utaweza kuziondoa mara moja.
Kwa kweli faida za kuroot simu
zipo nyingi sana. Una weza
search google kuendelea
kuzijua. Sasa tuongelee kidogo baadhi
ya hasara unaweza kuzipata
baada ya kuroot simu yako ya
android. Moja ya hasara kubwa
ni kupoteza warranty. Kumbuka
unaponunua simu dukani hupewa warranty kwamba
endapo simu yako italeta shida
basi utaweza rudisha na
kutengenezewa bure au kupewa
simu nyingine. Endapo uta root
simu yako basi tayari utakuwa umepoteza warrant ya simu
yako. Hasara nyingine unayoweza
kupata baada ya kuroot simu ni
kuaribu simu yako. Zipo simu
nyingi ambazo uki root vibaya
hushindwa kuwaka na
kusababisha hasara kubwa
Vp hata Tablet ya Samsung 10.1 naweza
kuiroot?
 
Yaan nimeroot simu zaid ya 22 sijaua hata moja so nashangaa huyo alieua simu..ila kitu kingine kama huna uzoefu wa kufanya rooting tafadhali uliza utapewa maelekezo
 
Yaan nimeroot simu zaid ya 22 sijaua hata moja so nashangaa huyo alieua simu..ila kitu kingine kama huna uzoefu wa kufanya rooting tafadhali uliza utapewa maelekezo
Kuja mkuu. .... Kuroot simu infinix hot note 3 ndio watumia app gan?
 
Tumia iroot au framaroot [HASHTAG]#Ashomile[/HASHTAG]
 
Ndio mkuu unaweza root tablet kupitia apps za hapo juu
 
Hi,
Kama kawaida ya jukwaa letu n kuelimishana mambo mbali mbali hivyo leo nmeandaa uzi huu maalum kwa wale wote wanaohitaji kufurahia ulimwengu wa rooting but wameshindwa either uoga wa kijinga au apps walizotumia haziendani na simu zao yaani namaanisha mfano kingoroot apk haijawah kuroot tecno w4. Hivyo leo nmeandaa baadhi ya apps ambazo zitasaidia.

Iroot_inatumika sana kwa simu za HTC na samsung.
Kingroot & kingoroot kwa baadhi ya simu nyingi za samsung na tecno ila kumbuka kudonwnlod new version.
Framaroot_cm zote
Pingpong root_kwa cm nying za samsung..
au unawez kutumia hiz Vroot, Srs root, Z4root, Universal root.Odin root,Cf-auto root,Root genius na Root master&Unlock root.....,

Kama sijaeleweka tuulizane hapa hapa jukwaani na naamini wataalam zaidi tutasaidiana kutumbua majipu ya unrooting phones. Ningependa niseme hivi "Kwa sasa wapenda games bila kuroot simu hatuwezi"

Nice day
[HASHTAG]#Alban[/HASHTAG]
Makoa toa ufafanuzi wa kuroot tecno w3 w4 w5 yaani hatua ya kwanza na ya mwisho
 
download App yaFramaroot kisha install moja kwa moja kwenye simu yako, baada ya
hapo fungua App hiyo kisha
chaguaSuperuser auSuperSU. Kisha endelea mbele kwa
kuchaguaBoromir, baada ya hapo kama umefuata hatua zote
utaona meseji ikitokea inayo
kwambia umefanikiwa ku-root
simu yako, kama umefika hapo
usiwe na haraka bali kinachofuata
unatakiwa ku-restart simu yako fanya hivyo kisha kwa kubofya OK. Baada ya kufanya hivyo utakuwa
umefanikiwa kuroot simu yako ya
Tecno wale wa tecno w4 w3 nadhani nishawapia majibu stahiki
 
download App yaFramaroot kisha install moja kwa moja kwenye simu yako, baada ya
hapo fungua App hiyo kisha
chaguaSuperuser auSuperSU. Kisha endelea mbele kwa
kuchaguaBoromir, baada ya hapo kama umefuata hatua zote
utaona meseji ikitokea inayo
kwambia umefanikiwa ku-root
simu yako, kama umefika hapo
usiwe na haraka bali kinachofuata
unatakiwa ku-restart simu yako fanya hivyo kisha kwa kubofya OK. Baada ya kufanya hivyo utakuwa
umefanikiwa kuroot simu yako ya
Tecno wale wa tecno w4 w3 nadhani nishawapia majibu stahiki
Tecno W4 inakataa framaroot, inaniambia ni check vulnerability, nika download X-ray for android kwaajili ya kucheck iyo ishu lakini hakuna mafanikio, sasa hapo nichukue hatua gani?
 
Hi,
Kama kawaida ya jukwaa letu n kuelimishana mambo mbali mbali hivyo leo nmeandaa uzi huu maalum kwa wale wote wanaohitaji kufurahia ulimwengu wa rooting but wameshindwa either uoga wa kijinga au apps walizotumia haziendani na simu zao yaani namaanisha mfano kingoroot apk haijawah kuroot tecno w4. Hivyo leo nmeandaa baadhi ya apps ambazo zitasaidia.

Iroot_inatumika sana kwa simu za HTC na samsung.
Kingroot & kingoroot kwa baadhi ya simu nyingi za samsung na tecno ila kumbuka kudonwnlod new version.
Framaroot_cm zote
Pingpong root_kwa cm nying za samsung..
au unawez kutumia hiz Vroot, Srs root, Z4root, Universal root.Odin root,Cf-auto root,Root genius na Root master&Unlock root.....,

Kama sijaeleweka tuulizane hapa hapa jukwaani na naamini wataalam zaidi tutasaidiana kutumbua majipu ya unrooting phones. Ningependa niseme hivi "Kwa sasa wapenda games bila kuroot simu hatuwezi"

Nice day
[HASHTAG]#Alban[/HASHTAG]
Mkuu vipi samsung galaxy grand prime plus nitumie app ipi kuroot
Na procedure kidogo itakuwa vizuri
 
Sony Xperia E1 D2105 mkuu msaada tafadhali. Sioni raha kuitumia kabisa na nimezoea simu rooted kiasi kwamba natumia rooted it1406 hii naipaki geto koz sio rooted.
 
Aliba p'se naomba procedures za kuroot Sony experia z1 nilishajaribu kwa king root ikagoma thank god haikufa.
Naomba unipe procedure a to z maana mm sio mtaalamu wa hayo makitu
 
Sony Xperia Tumia vroot apk pia mkuu wa tecno n2 tumia kingoroot or framaroot.. maelekezo jinsi ya kufany rooting fuatilia replies za juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom