IFRS
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 2,904
- 5,170
Ijumaa iliyopita niliamka salama kabisa nikaenda kwenye mihangaiko yangu ili kupata mkate wangu wa kila siku.
Usiku nilipokuwa narudi nyumbani hali yangu ilibadilika sana nikawa nahisi joto la mwili limepanda sana na kichwa kuuma.
Nilikunywa panadol nikalala, nilishtuka usingizini usiku wa manane Jasho linanitoka kama maji, nakumbuka nililala na boksa tu ila sikuamini kuona boksa imeloa tepetepe, shuka nililolalia limeloa tepetepe.
Usiku ule pia ndio nikahisi kifua kimeanza kunibana, yaani unavuta hewa kwa shida sana wakati huo huo feni imefunguliwa mpaka mwisho.
Usiku ule mawazo yalikuwa mengi sana;
1. Nilihisi nina Corona nikawa nimeamua kesho asubuhi niende Amana hospital ili niiwahi kabla mambo hayajaharibika.
2. Nikakumbuka Corona haina dawa hivyo kuna kupona au kifo,kwahiyoni bora kabla ya kwenda Amana niongee na wazazi wangu na ikiwezekana niandike Will .
Kiukweli kutokana na ile hali plus mawazo sikuweza kulala mpaka asubuhi. Mke wangu alivyoamka nikamwambia kuhusu hali yangu kuzidi kuwa mbaya na mawazo yangu ya kwenda Amana Amana hospitali, huwezi amini, wife alikataa katakata kwa maelezo kwamba amana ni hatari sana kwenda ni bora anihudimie yeye pale home.
Basi kuna chumba kipo empty maana ni kwa ajiri ya wageni, nikahamia huko plus nikatengewa vyombo vyangu vya chakula, matibabu yakaanza.
Inaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaendelea
Basi nikaanzishiwa Dozi kama ifuatavyo
1. Kunywa maji ya uvuguvugu yalichanganywa na limao na chumba
2.kutafuna vitunguu saumu mara kwa mara
3.kutafuna tangawizi mara kwa mara
4. Niliendelea kunywa maji mengi pamoja na panadol ili kushusha joto.
Kiukweli at day one sikuona mabadiliko ila ilipofika day two homa ilikata ila kifua kilikuwa bado kinabana.
Day 3 nikaanza mazoezi ya kutembea km 5 kwenda na kurudi km 5 jumla km 10.
Kiukweli mazoezi plus kutafuna tangawizi plus kutafuna vitunguu swaumu plus kunywa maji mengi ndio kumenifanya now afya yangu ipo poa.
Ningetamani mwanajf ambaye amepata experience kama yangu angeshare jinsi alivyofanikiwa kujitibu akiwa nyumbani
Regards
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiku nilipokuwa narudi nyumbani hali yangu ilibadilika sana nikawa nahisi joto la mwili limepanda sana na kichwa kuuma.
Nilikunywa panadol nikalala, nilishtuka usingizini usiku wa manane Jasho linanitoka kama maji, nakumbuka nililala na boksa tu ila sikuamini kuona boksa imeloa tepetepe, shuka nililolalia limeloa tepetepe.
Usiku ule pia ndio nikahisi kifua kimeanza kunibana, yaani unavuta hewa kwa shida sana wakati huo huo feni imefunguliwa mpaka mwisho.
Usiku ule mawazo yalikuwa mengi sana;
1. Nilihisi nina Corona nikawa nimeamua kesho asubuhi niende Amana hospital ili niiwahi kabla mambo hayajaharibika.
2. Nikakumbuka Corona haina dawa hivyo kuna kupona au kifo,kwahiyoni bora kabla ya kwenda Amana niongee na wazazi wangu na ikiwezekana niandike Will .
Kiukweli kutokana na ile hali plus mawazo sikuweza kulala mpaka asubuhi. Mke wangu alivyoamka nikamwambia kuhusu hali yangu kuzidi kuwa mbaya na mawazo yangu ya kwenda Amana Amana hospitali, huwezi amini, wife alikataa katakata kwa maelezo kwamba amana ni hatari sana kwenda ni bora anihudimie yeye pale home.
Basi kuna chumba kipo empty maana ni kwa ajiri ya wageni, nikahamia huko plus nikatengewa vyombo vyangu vya chakula, matibabu yakaanza.
Inaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaendelea
Basi nikaanzishiwa Dozi kama ifuatavyo
1. Kunywa maji ya uvuguvugu yalichanganywa na limao na chumba
2.kutafuna vitunguu saumu mara kwa mara
3.kutafuna tangawizi mara kwa mara
4. Niliendelea kunywa maji mengi pamoja na panadol ili kushusha joto.
Kiukweli at day one sikuona mabadiliko ila ilipofika day two homa ilikata ila kifua kilikuwa bado kinabana.
Day 3 nikaanza mazoezi ya kutembea km 5 kwenda na kurudi km 5 jumla km 10.
Kiukweli mazoezi plus kutafuna tangawizi plus kutafuna vitunguu swaumu plus kunywa maji mengi ndio kumenifanya now afya yangu ipo poa.
Ningetamani mwanajf ambaye amepata experience kama yangu angeshare jinsi alivyofanikiwa kujitibu akiwa nyumbani
Regards
Sent using Jamii Forums mobile app