sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Nikubali yakuwa Mimi ni mraibu wa mapenzi hasa mapenzi ya jinsia mbili tofauti.
Moja ya vitu vinavyonivutia Kwa mpenzi wangu yaani mke wangu ni uzuri wa sura yake, kucha za miguu yake, urefu wake, weupe wake na vingine vingi, nisisaau komwe lake.
Kuna watu kupitia jukwaa ili wameisha Anza kutudanganya ya kuwa Ile iliyoitwa treaty kweli ina kasoro na kasoro hizi kwa sasa haziwezi rekebishwa Ila kwa kuwa iliyotangulia ni treaty, mikataba inayofatia itakuwa mizuri Tuuuuu!
Huu ni ujinga wa kututaka tuamishe mawazo yetu kutoka usoni kuyapeleka kufkiria yakuwa USO waweza kuwa mbaya Ila sehemu za siri zikawa Sawa.
Mwenyezi Mungu alitumia material tofauti kutengeza sura akazioendesha kwa nakishi mbali mbali lakini alichotumia kwa sura hakukitumia kuimba sehemu za siri ndugu zangu ndio maana vitu hivi vina mwonekano tofauti bandugu.
Kasoro za usoni zinaweza mfanya MTU ahamanini yakuwa ziko mpaka sehemu za Siri ndivyo ilivyo yaliyotokea Kwa treaty hii ambayo ilisainiwa hadharani na kupelekwa Bungeni kupitishwa na Bunge lenye watu zaidi ya 300 bado kuna kasoro.
Nitakuwa wa mwisho kuamini yakuwa mikataba itakavyo kuwa ya Siri itakuwa Sawa ili Hali treaty ya hadharani umekuwa hivyo ilivyo.
Naomba kuwasilisha.
Moja ya vitu vinavyonivutia Kwa mpenzi wangu yaani mke wangu ni uzuri wa sura yake, kucha za miguu yake, urefu wake, weupe wake na vingine vingi, nisisaau komwe lake.
Kuna watu kupitia jukwaa ili wameisha Anza kutudanganya ya kuwa Ile iliyoitwa treaty kweli ina kasoro na kasoro hizi kwa sasa haziwezi rekebishwa Ila kwa kuwa iliyotangulia ni treaty, mikataba inayofatia itakuwa mizuri Tuuuuu!
Huu ni ujinga wa kututaka tuamishe mawazo yetu kutoka usoni kuyapeleka kufkiria yakuwa USO waweza kuwa mbaya Ila sehemu za siri zikawa Sawa.
Mwenyezi Mungu alitumia material tofauti kutengeza sura akazioendesha kwa nakishi mbali mbali lakini alichotumia kwa sura hakukitumia kuimba sehemu za siri ndugu zangu ndio maana vitu hivi vina mwonekano tofauti bandugu.
Kasoro za usoni zinaweza mfanya MTU ahamanini yakuwa ziko mpaka sehemu za Siri ndivyo ilivyo yaliyotokea Kwa treaty hii ambayo ilisainiwa hadharani na kupelekwa Bungeni kupitishwa na Bunge lenye watu zaidi ya 300 bado kuna kasoro.
Nitakuwa wa mwisho kuamini yakuwa mikataba itakavyo kuwa ya Siri itakuwa Sawa ili Hali treaty ya hadharani umekuwa hivyo ilivyo.
Naomba kuwasilisha.