Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,327
- 7,465
Habari wakuu,
Ni ukweli usiopingika kipindi ukiwa mtoto, kuna mambo mengi ya utotoni ulitamani kuyafanya lakini wazazi/walezi walikukataza, kutokana na saababu mbalimbali kitu kilichopeleka kuhisi kukosa uhuru
Maisha yanabadilika unakuja kuwa mtu mzima ukiwa na uhuru wa kufanya kila kitu lakini Uchumi nao unakubana ,hii hali inafanya tutafakari mengi kuhusu maisha
Itafikia kipindi utakua na uhuru wa kiuchumi lakini kuna mambo mengine utatamani kufanya lakini mazingira hayatakuruhusu
Tujifunze kuwa na kiasi katika matamanio yetu
Tafakari!
Ni ukweli usiopingika kipindi ukiwa mtoto, kuna mambo mengi ya utotoni ulitamani kuyafanya lakini wazazi/walezi walikukataza, kutokana na saababu mbalimbali kitu kilichopeleka kuhisi kukosa uhuru
Maisha yanabadilika unakuja kuwa mtu mzima ukiwa na uhuru wa kufanya kila kitu lakini Uchumi nao unakubana ,hii hali inafanya tutafakari mengi kuhusu maisha
Itafikia kipindi utakua na uhuru wa kiuchumi lakini kuna mambo mengine utatamani kufanya lakini mazingira hayatakuruhusu
Tujifunze kuwa na kiasi katika matamanio yetu
Tafakari!