payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
huna issue,mfano bora na nyie mnaoleta picha za watu hapa...???nyie ndio hampaswi kuwa mfano bora???...........kila mtu yupo nyuma ya PC au unadhania tunakuona hapa ukitype??shhhxxxxxxx!
Nafurahi sana jinsi unavyojipa pressure/stress za bure...........leo online marketing imeingia mushkeli mama.
Picha zako zimewekwa JF na wadau wanakukosoa haulipi na kiwowowo chako fekifeki, cha kichina!