Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,243
Huyo polis ni tapeli na mwongo kwa maneno hayo ya kuambiwa yamekuridhisha kuthibitisha?yatasemwa mengi sana mwisho wa siku ukweli utajulikana.
Siamini kama chama cha mapinduzi kinaweza kuua raia wake hizi ni hujuma tuu zinazofanyika.Mungu ibariki Tanzania.
Upo Tanzania?! Kwa CCM lolote linawezekana.