Tukiendelea hivi Majeshi yetu yataendelea kushuka ubora

Nazungumzia haya majeshi yetu hasa JWTZ, Polisi, Uhamiaji, Magereza na mengineyo

Miaka ya nyuma watu walijiunga na Jeshi kwa moyo mmoja wa uzalendo wa kuitumikia nchi yao hali imekuwa tofauti kwa miaka ya hivi karibuni mtu anamaliza bachelor ama amefeli anasota kitaa anaona solution ni kwenda Jeshi, yaani Jeshi sasa hivi ni ajira wala hamna uzalendo ndo maana mtu anaweza kwenda kozi ila kipindi cha kozi chote anaumwa na siku ya kuapa anaapa.

Mbaya zaidi maafisa wako bize kuingiza vijana wao na ndugu zao mfano zamani TISS walikuwa wanachukua watu baada ya uchunguzi wa kina, ila sasa hivi wanaenda kwa connection tutegemee makubwa zaidi
ukiwa hauna connection hata kama una moyo wa kuwa mjeda sahau labda utaingia kama mtu wa ziada kujazia nafasi iliyo wazi

Na hata juzi vijana waloenda Msata na Oljoro lilitoka bogi la Mabeyo(kama hujui tulia hivo hivo)

Zamani Jeshini ukiwa una tatoo, huna uvungu, unafanya mapenzi kinyume na maumbile huwezi kujiunga na Jeshi lakini sasa hivi hadi gays wanaenda kupiga kozi.

Jeshini sasa hivi imekuwa sehemu ya kustarehe yaani hata hawawazi chochote, maafisa wao ni starehe kwa kwenda mbele na umalaya.

Vijana legelege nao wamo siku hizi
Kwa taarifa yenu tuendelee kukwepa migogoro na nchi nyingine kwa maana kwa jinsi majeshi yetu yalivo relax ni rahisi kuingia na kuchunguza kila kitu kwa uzuri

Msishangae Jeshi kuendelea kushuka chini kwenye ranks
Nipo hapa bonyokwa nacheza draft
Nilikuwa nasoma Mkwawa, akafika Afisa wa shushushu pale kuwakaribisha wanafunzi wajiunge na TISS. Yaani wanafunzi wote wameitwa kwenye Hall ili huyu mtu awakaribishe kujiunga na TISS.
Akawa anasema,"Watu wengine wanatuita "shushu-shushu", lakini msiogope. Sisi tuna kazi kama watu wengine tu.
Siku hizi ajira sijui inafanyika vipi.
Au nilipoingia JWTZ. Ikatolewa Public Notice: Vijana wote wanaotaka kujiunga na Jeshi,wafike uwanja wa Karume kesho asubuhi. Basi,vibaka wote wa Daressalaam walifika pale.
Yule Kamanda,alikuwa Sajenti,nadhani,akasema:"Sasa,hebu tusikilizane. Nataka mkimbie hapa uwanjani mara nne,duara nne,wale ishirini wa kwanza,watajiunga na Jeshi. Hivyo nilivyoingia Jeshini.
 
Naomba kupewa sababu maalumu na mahususi za kisayansi na ki medani kwann gays hawaruhusiwi kujiunga na Jeshi.??

Nahitaji majibu yaliyojaa uweledi na staha, povu sitaki.

Sababu ziko nyingi ila kwa kuwa mi ni mvivu kutype nakupa mbili ukitaka zaidi njoo DM toa namba ntakupigia.
1. Majeshi hutumika katika humanitarian interventions, sasa imagine kundi la mashoga wanajeshi wamepelekwa mission Somalia, kwanza wenyewe watajikuta kwenye humanitarian crisis. Maana kundi hili hata huko America kwenyewe bado halikubaliki.

2. Kuna kitu kinaitwa uhalifu wa kivita ambalo ni kosa kubwa mno. Sasa jamii ya mashoga wako vulnerable sana kufanyiwa vitendo vya ubakaji, kuteswa nk kuliko straight soldier. Imagine waasi wanamteka mwanajeshi shoga kama james delicious watamgeuza asusa.

3.


4.


5….
 
Nazungumzia haya majeshi yetu hasa JWTZ, Polisi, Uhamiaji, Magereza na mengineyo

Miaka ya nyuma watu walijiunga na Jeshi kwa moyo mmoja wa uzalendo wa kuitumikia nchi yao hali imekuwa tofauti kwa miaka ya hivi karibuni mtu anamaliza bachelor ama amefeli anasota kitaa anaona solution ni kwenda Jeshi, yaani Jeshi sasa hivi ni ajira wala hamna uzalendo ndo maana mtu anaweza kwenda kozi ila kipindi cha kozi chote anaumwa na siku ya kuapa anaapa.

Mbaya zaidi maafisa wako bize kuingiza vijana wao na ndugu zao mfano zamani TISS walikuwa wanachukua watu baada ya uchunguzi wa kina, ila sasa hivi wanaenda kwa connection tutegemee makubwa zaidi
ukiwa hauna connection hata kama una moyo wa kuwa mjeda sahau labda utaingia kama mtu wa ziada kujazia nafasi iliyo wazi

Na hata juzi vijana waloenda Msata na Oljoro lilitoka bogi la Mabeyo(kama hujui tulia hivo hivo)

Zamani Jeshini ukiwa una tatoo, huna uvungu, unafanya mapenzi kinyume na maumbile huwezi kujiunga na Jeshi lakini sasa hivi hadi gays wanaenda kupiga kozi.

Jeshini sasa hivi imekuwa sehemu ya kustarehe yaani hata hawawazi chochote, maafisa wao ni starehe kwa kwenda mbele na umalaya.

Vijana legelege nao wamo siku hizi
Kwa taarifa yenu tuendelee kukwepa migogoro na nchi nyingine kwa maana kwa jinsi majeshi yetu yalivo relax ni rahisi kuingia na kuchunguza kila kitu kwa uzuri

Msishangae Jeshi kuendelea kushuka chini kwenye ranks
Nipo hapa bonyokwa nacheza draft
Mauzauza hoyee
 
Naomba kupewa sababu maalumu na mahususi za kisayansi na ki medani kwann gays hawaruhusiwi kujiunga na Jeshi.??

Nahitaji majibu yaliyojaa uweledi na staha, povu sitaki.
Enzi tuliyoandikishwa sisi, tulielezwa sababu, ilikuwa ina mantiki au haina kutegemeana na muono wa ntu na ntu!
Tulielezwa kwa kutolea mfano wa ng'ombe maksai aliyehasiwa.
Tukaulizwa kama angalizo: " ulishamuona maksai zizini ama popote akipigana na dume jenzie au 'kuhiga'(ule mlio wanatoaga madume wa kujidhihirisha kuwa yeye ndiye boss na hakuna tena mwingine kama yeye)?

Tukathibitisha kuwa ni kweli hatujawahi kuona.

Afisa yule akaendelea kueleza kuwa jamii hiyo ya watu ni lege lege kama wanawake, si wahimilivu wa mikiki mikiki na ni wagumu wa kukasirika, ambapo
Hasira ni "mtaji" jeshini maana hauwezi pigana bila kukasirika.

Sababu ya pili ni kuwa "uanaume"hutumika kama silaha ya kumdhoofisha adui.

Kwa maana kwamba mnaposhinda vita na kuteka maeneo ya adui, yapasa kuwadhalilisha kwa kuwabakia mama zao, wake zao, dada zao huku wakishuhudia na kuwapachika mimba zisizotarajiwa ili kujidhihirishia ushindi na kuwadhoofisha, je hanithi anaweza?

Maelezo ya kinadharia yalikuwa ni mengi, lakini kitabibu hatukuelewa impact ya kisayansi, maana kweli aliyepatikana "si ridhiki" aliandikiwa remarks ya "unfit" na kurejeshwa kwao hima.

Upimaji wa hiyo "stage" sasa, ni majanga!
 
Nilikuwa nasoma Mkwawa, akafika Afisa wa shushushu pale kuwakaribisha wanafunzi wajiunge na TISS. Yaani wanafunzi wote wameitwa kwenye Hall ili huyu mtu awakaribishe kujiunga na TISS.
Akawa anasema,"Watu wengine wanatuita "shushu-shushu", lakini msiogope. Sisi tuna kazi kama watu wengine tu.
Siku hizi ajira sijui inafanyika vipi.
Au nilipoingia JWTZ. Ikatolewa Public Notice: Vijana wote wanaotaka kujiunga na Jeshi,wafike uwanja wa Karume kesho asubuhi. Basi,vibaka wote wa Daressalaam walifika pale.
Yule Kamanda,alikuwa Sajenti,nadhani,akasema:"Sasa,hebu tusikilizane. Nataka mkimbie hapa uwanjani mara nne,duara nne,wale ishirini wa kwanza,watajiunga na Jeshi. Hivyo nilivyoingia Jeshini.
mmh
 
Enzi tuliyoandikishwa sisi, tulielezwa sababu, ilikuwa ina mantiki au haina kutegemeana na muono wa ntu na ntu!
Tulielezwa kwa kutolea mfano wa ng'ombe maksai aliyehasiwa.
Tukaulizwa kama angalizo: " ulishamuona maksai zizini ama popote akipigana na dune jenzie au 'kuhiga'(ule mlio wanatoaga madume wa kujidhihirisha kuwa yeye ndiye boss na hakuna tena mwingine kama yeye)?

Tukathibitisha kuwa ni kweli hatujawahi kuona.

Afisa yule akaendelea kueleza kuwa jamii hiyo ya watu ni lege lege kama wanawake, si wahimilivu wa mikiki mikiki na ni wagumu wa kukasirika, ambapo
Hasira ni "mtaji" jeshini maana hauwezi pigana bila kukasirika.

Sababu ya pili ni kuwa "uanaume"hutumika kama silaha ya kumdhoofisha adui.

Kwa maana kwamba mnaposhinda vita na kuteka maeneo ya adui, yapasa kuwadhalilisha kwa kuwabakia mama zao, wake zao, dada zao huku wakishuhudia na kuwapachika mimba zisizotarajiwa ili kujidhihirishia ushindi na kuwadhoofisha, je hanithi anaweza?

Maelezo ya kinadharia yalikuwa ni mengi, lakini kitabibu hatukuelewa impact ya kisayansi, maana kweli aliyepatikana "si ridhiki" aliandikiwa remarks ya "unfit" na kurejeshwa kwao hima.

Upimaji wa hiyo "stage" sasa, ni majanga!
ahsante kwa ufafanuzi mkuu(inamaa kohoa)
 
aah,sisi watanzania ni very innocent ndo maana jeshi imekuwa sehemu ya kustarehe
Siku hizi hata hawaendi zile mission kama za Seychelles
Kuna jamaa zangu wananiambia katka watu wanao kula starehe hapa tz ni wao
Full pombe na mademu
Mtu anaingia jeshin hadi ana staafu hajui vita kabsaaa

Maajabu mwanajeshi anakitambii kama kiroba hizi ni dharau kabsaaa
 
Siasa zimearibu system nyingi za serikali na yote yalianza kipindi cha kikwete ujue wanasiasa wanapofanya ufisadi na hatua zisipochukuliwa Ila kila ripot inakuaja kuwa ufisadi umefanyika hatua hazichukuliwi jua taasisi nyingine za serikalini nazo zitafanya ivyoivyo ni vile Tu ripot za ukaguzi toka wizara ya ulinzi haianikwi sana mfumo WA uajiri umegubikwa na siasa nyingi wenye madaraka ndyo wenye nguvu kuingiza wanao kwenye sehemu nyeti
 
Back
Top Bottom