Tukiendelea hivi Majeshi yetu yataendelea kushuka ubora

scolastika

JF-Expert Member
Jan 26, 2019
3,812
5,602
Nazungumzia haya majeshi yetu hasa JWTZ, Polisi, Uhamiaji, Magereza na mengineyo

Miaka ya nyuma watu walijiunga na Jeshi kwa moyo mmoja wa uzalendo wa kuitumikia nchi yao hali imekuwa tofauti kwa miaka ya hivi karibuni mtu anamaliza bachelor ama amefeli anasota kitaa anaona solution ni kwenda Jeshi, yaani Jeshi sasa hivi ni ajira wala hamna uzalendo ndo maana mtu anaweza kwenda kozi ila kipindi cha kozi chote anaumwa na siku ya kuapa anaapa.

Mbaya zaidi maafisa wako bize kuingiza vijana wao na ndugu zao mfano zamani TISS walikuwa wanachukua watu baada ya uchunguzi wa kina, ila sasa hivi wanaenda kwa connection tutegemee makubwa zaidi
ukiwa hauna connection hata kama una moyo wa kuwa mjeda sahau labda utaingia kama mtu wa ziada kujazia nafasi iliyo wazi

Na hata juzi vijana waloenda Msata na Oljoro lilitoka bogi la Mabeyo(kama hujui tulia hivo hivo)

Zamani Jeshini ukiwa una tatoo, huna uvungu, unafanya mapenzi kinyume na maumbile huwezi kujiunga na Jeshi lakini sasa hivi hadi gays wanaenda kupiga kozi.

Jeshini sasa hivi imekuwa sehemu ya kustarehe yaani hata hawawazi chochote, maafisa wao ni starehe kwa kwenda mbele na umalaya.

Vijana legelege nao wamo siku hizi
Kwa taarifa yenu tuendelee kukwepa migogoro na nchi nyingine kwa maana kwa jinsi majeshi yetu yalivo relax ni rahisi kuingia na kuchunguza kila kitu kwa uzuri

Msishangae Jeshi kuendelea kushuka chini kwenye ranks
Nipo hapa bonyokwa nacheza draft
 
Mfano hawa wanajeshi hapa mwenge walevi na malaya wakubwa. Jana nimewamba mmoja makofi pale dance club na huwa nawazingua sana turunya, mbembe, miami na chocho zote mwenge. NI WAPUMBAVU WANADHANI KILA MTU NI MNYONGE.
aah,sisi watanzania ni very innocent ndo maana jeshi imekuwa sehemu ya kustarehe
 
Naomba kupewa sababu maalumu na mahususi za kisayansi na ki medani kwann gays hawaruhusiwi kujiunga na Jeshi.??

Nahitaji majibu yaliyojaa uweledi na staha, povu sitaki.
kwa upande wangu sijui sababu lakini nadhani ni sababu za kimaadili kwa kiafya sijajua sana,na watatoo huwa hawaruhusiwi kujiunga na jeshi pia
 
Mfano hawa wanajeshi hapa mwenge walevi na malaya wakubwa. Jana nimewamba mmoja makofi pale dance club na huwa nawazingua sana turunya, mbembe, miami na chocho zote mwenge. NI WAPUMBAVU WANADHANI KILA MTU NI MNYONGE.
Hayo ni mambo binafsi yasioendana na hoja.
 
Litakuja kuwa kama jeshi la Congo. Ukiisha ona wanajeshi wana vitambi ujue tu kuwa hali si shwari tena.
aaah kwa raha zile kwa nini usiwe na kitambi kama mtu yuko guard anapiga gambe kwanza anaenda kulala mpaka mornie unajiuliza alikuwa analinda nini,
 
Nazungumzia haya majeshi yetu hasa JWTZ, Polisi, Uhamiaji, Magereza na mengineyo

Miaka ya nyuma watu walijiunga na Jeshi kwa moyo mmoja wa uzalendo wa kuitumikia nchi yao hali imekuwa tofauti kwa miaka ya hivi karibuni mtu anamaliza bachelor ama amefeli anasota kitaa anaona solution ni kwenda Jeshi, yaani Jeshi sasa hivi ni ajira wala hamna uzalendo ndo maana mtu anaweza kwenda kozi ila kipindi cha kozi chote anaumwa na siku ya kuapa anaapa.

Mbaya zaidi maafisa wako bize kuingiza vijana wao na ndugu zao mfano zamani TISS walikuwa wanachukua watu baada ya uchunguzi wa kina, ila sasa hivi wanaenda kwa connection tutegemee makubwa zaidi
ukiwa hauna connection hata kama una moyo wa kuwa mjeda sahau labda utaingia kama mtu wa ziada kujazia nafasi iliyo wazi

Na hata juzi vijana waloenda Msata na Oljoro lilitoka bogi la Mabeyo(kama hujui tulia hivo hivo)

Zamani Jeshini ukiwa una tatoo, huna uvungu, unafanya mapenzi kinyume na maumbile huwezi kujiunga na Jeshi lakini sasa hivi hadi gays wanaenda kupiga kozi.

Jeshini sasa hivi imekuwa sehemu ya kustarehe yaani hata hawawazi chochote, maafisa wao ni starehe kwa kwenda mbele na umalaya.

Vijana legelege nao wamo siku hizi
Kwa taarifa yenu tuendelee kukwepa migogoro na nchi nyingine kwa maana kwa jinsi majeshi yetu yalivo relax ni rahisi kuingia na kuchunguza kila kitu kwa uzuri

Msishangae Jeshi kuendelea kushuka chini kwenye ranks
Nipo hapa bonyokwa nacheza draft
Mimi kijana mzalendo mkakamavu
Naomba niunge niingie huko kiongozi
 
Back
Top Bottom