scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,812
- 5,602
Nazungumzia haya majeshi yetu hasa JWTZ, Polisi, Uhamiaji, Magereza na mengineyo
Miaka ya nyuma watu walijiunga na Jeshi kwa moyo mmoja wa uzalendo wa kuitumikia nchi yao hali imekuwa tofauti kwa miaka ya hivi karibuni mtu anamaliza bachelor ama amefeli anasota kitaa anaona solution ni kwenda Jeshi, yaani Jeshi sasa hivi ni ajira wala hamna uzalendo ndo maana mtu anaweza kwenda kozi ila kipindi cha kozi chote anaumwa na siku ya kuapa anaapa.
Mbaya zaidi maafisa wako bize kuingiza vijana wao na ndugu zao mfano zamani TISS walikuwa wanachukua watu baada ya uchunguzi wa kina, ila sasa hivi wanaenda kwa connection tutegemee makubwa zaidi
ukiwa hauna connection hata kama una moyo wa kuwa mjeda sahau labda utaingia kama mtu wa ziada kujazia nafasi iliyo wazi
Na hata juzi vijana waloenda Msata na Oljoro lilitoka bogi la Mabeyo(kama hujui tulia hivo hivo)
Zamani Jeshini ukiwa una tatoo, huna uvungu, unafanya mapenzi kinyume na maumbile huwezi kujiunga na Jeshi lakini sasa hivi hadi gays wanaenda kupiga kozi.
Jeshini sasa hivi imekuwa sehemu ya kustarehe yaani hata hawawazi chochote, maafisa wao ni starehe kwa kwenda mbele na umalaya.
Vijana legelege nao wamo siku hizi
Kwa taarifa yenu tuendelee kukwepa migogoro na nchi nyingine kwa maana kwa jinsi majeshi yetu yalivo relax ni rahisi kuingia na kuchunguza kila kitu kwa uzuri
Msishangae Jeshi kuendelea kushuka chini kwenye ranks
Nipo hapa bonyokwa nacheza draft
Miaka ya nyuma watu walijiunga na Jeshi kwa moyo mmoja wa uzalendo wa kuitumikia nchi yao hali imekuwa tofauti kwa miaka ya hivi karibuni mtu anamaliza bachelor ama amefeli anasota kitaa anaona solution ni kwenda Jeshi, yaani Jeshi sasa hivi ni ajira wala hamna uzalendo ndo maana mtu anaweza kwenda kozi ila kipindi cha kozi chote anaumwa na siku ya kuapa anaapa.
Mbaya zaidi maafisa wako bize kuingiza vijana wao na ndugu zao mfano zamani TISS walikuwa wanachukua watu baada ya uchunguzi wa kina, ila sasa hivi wanaenda kwa connection tutegemee makubwa zaidi
ukiwa hauna connection hata kama una moyo wa kuwa mjeda sahau labda utaingia kama mtu wa ziada kujazia nafasi iliyo wazi
Na hata juzi vijana waloenda Msata na Oljoro lilitoka bogi la Mabeyo(kama hujui tulia hivo hivo)
Zamani Jeshini ukiwa una tatoo, huna uvungu, unafanya mapenzi kinyume na maumbile huwezi kujiunga na Jeshi lakini sasa hivi hadi gays wanaenda kupiga kozi.
Jeshini sasa hivi imekuwa sehemu ya kustarehe yaani hata hawawazi chochote, maafisa wao ni starehe kwa kwenda mbele na umalaya.
Vijana legelege nao wamo siku hizi
Kwa taarifa yenu tuendelee kukwepa migogoro na nchi nyingine kwa maana kwa jinsi majeshi yetu yalivo relax ni rahisi kuingia na kuchunguza kila kitu kwa uzuri
Msishangae Jeshi kuendelea kushuka chini kwenye ranks
Nipo hapa bonyokwa nacheza draft