Mimi Sina Mtaji Wala Eneo, Ila Nina Malengo Makubwa Zaidi Ya Hayo Uliyonayo!
Naomba Mola Anifanikishe Mimi Na Watu Wengine!
mm nina mtaji ila sina eneo but wanalipa sana vijana wa CCM mje jamani soli za viatu zitaisha njooni tuungane kama unasehemu mie nipo majumbasita njia ya airport
Kama uko dar, pwani ama bagamoyo tafuta mtaji. Mie nitakupa eneo bure kwa kuanzia na baadae utalipa kidogo ili usije ukajimilikisha. Im serious.
Sawa mkuu!
Usinisahau ukifanikiwa!
mm nina mtaji ila sina eneo but wanalipa sana vijana wa CCM mje jamani soli za viatu zitaisha njooni tuungane kama unasehemu mie nipo majumbasita njia ya airport
Kama uko dar, pwani ama bagamoyo tafuta mtaji. Mie nitakupa eneo bure kwa kuanzia na baadae utalipa kidogo ili usije ukajimilikisha. Im serious.
mi ninamayai ila sina eneo la kuyaweka
mm nina mtaji ila sina eneo but wanalipa sana vijana wa CCM mje jamani soli za viatu zitaisha njooni tuungane kama unasehemu mie nipo majumbasita njia ya airport
mm nina mtaji ila sina eneo but wanalipa sana vijana wa CCM mje jamani soli za viatu zitaisha njooni tuungane kama unasehemu mie nipo majumbasita njia ya airport