Malima akamdanganye mtoto wa chekechea kuwa hakuwa na changudoa siku alipoibiwa
chumba cha 400,000 , hotel ya hadhi hii ina vibakaa??? kibaka asingeiacha bastola hata iweje...
watu wamenunuliwa , watu wamebambikiziwa kesi
eti jambazi likutane uso kwa uso na smg halafu liiache?!?
Sijui ni mimi peke yangu au kuna mtu mwingine hapa jamvini anayehisi kuwa huyo mama aliyeko kwenye landrover hausiki! Kama Malima anasoma huu uzi au kama kuna mtu wake wa karibu basi nashauri akae chini na ajiridhishe kweli kama huyo mama anahusika. Machozi ya mtu hayapotei bure, na haki ya mtu haidhulumiwi.
Ni hisia zangu pengine Malima ndiye mwenye kujua ukweli ni upi lakini huyo mama kweli kamuibia Mheshimiwa laptop tatu? na pete?
Unajua ((1) nilishawahi kumwambia nikiwa songea siku moja malaya ni malaya tu adam usipobadilika hiko cheo kitakutokea puani na hata kilichofanywa si o yeye (2) ni game ya wabaya wake ambao wako nyuma yake
Banhi mbaya sana..nilifikiri ameshaacha kumbe bado
Wana JF, mnakumbuka ile mechi ya Malima vs Mengi? Kugombea kombe la nani apewe 'air time' kubwa kati ya JK au Mengi. Ukilaza wa Malima Kithembe niliuona kuanzia hapo.