Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,064
Kwa wale mliwahi kusoma Kikuyu na kuacha watoto wenu pale Kikuyu na vile Vibinti VIKUYU basi jikumbusheni shule yenu. Bahati mbaya kwa sasa haipo tena maana kimekuwa Chuo kikuu cha Wa-Anglican. I wish ningeinunua tena na kuwapa Wa-Anglican eneo jingine na kuirudisha Mazengo yangu.
Mie nilikuwepo hapo mwaka 1982-1985. Enzi tunatesa sana kwenye timu ya Mpira wa miguu (akina Black Madonna, Kalonga, Mtutwa, Jabili Kasenga, Pocent Moyo, Kondo, Hanzuruni ...). Kwenye mbio kijana Shahanga alikuwa akizunguka watu sijui mara ngapi. Mpira wa vikapu alikuwepo yule Mkurya aliyenifanya nisicheze huo mchezo kwani nilijua milele sintafikia level yake, jamaa alikuwa akiitwa Sammy Marwa. Nilikuja muona Dar kanenepa sikuamini. Kijana Pius Moremi (kijana wa Stretoz), Kindaza wa bweni la ujamaa (Ex-Tabora JAzz) na gitaa lake........
Msalato alikuwepo Mama Nanofu, Halima Msomali.... haya watoto wa Six leteni story zaidi.
Ukitaka kuangalia picha za Mazengo:-
The Buildings
mazengo secondary picture - Google Image Search
Kwenye mpira nakumbuka mwaka 1984 tulikuwa tukicheza UMISETA, basi timu za Dodoma za Secondary zilipata sana shida. Tulikuwa tukienda shangilia mechi tunasubiri goli la Saba (wiki). Likifungwa tunaondoka. Siku tulikaa hadi mwisho ni pale Mpwapwa walipotugomea kufungwa wiki, tukawafunga sijui goli 5, basi Mazengo ilikuwa huzuni saaaaana na Mpwapwa ilikuwa furaha kubwa.
Mie nilikuwepo hapo mwaka 1982-1985. Enzi tunatesa sana kwenye timu ya Mpira wa miguu (akina Black Madonna, Kalonga, Mtutwa, Jabili Kasenga, Pocent Moyo, Kondo, Hanzuruni ...). Kwenye mbio kijana Shahanga alikuwa akizunguka watu sijui mara ngapi. Mpira wa vikapu alikuwepo yule Mkurya aliyenifanya nisicheze huo mchezo kwani nilijua milele sintafikia level yake, jamaa alikuwa akiitwa Sammy Marwa. Nilikuja muona Dar kanenepa sikuamini. Kijana Pius Moremi (kijana wa Stretoz), Kindaza wa bweni la ujamaa (Ex-Tabora JAzz) na gitaa lake........
Msalato alikuwepo Mama Nanofu, Halima Msomali.... haya watoto wa Six leteni story zaidi.
Ukitaka kuangalia picha za Mazengo:-
The Buildings
mazengo secondary picture - Google Image Search
Kwenye mpira nakumbuka mwaka 1984 tulikuwa tukicheza UMISETA, basi timu za Dodoma za Secondary zilipata sana shida. Tulikuwa tukienda shangilia mechi tunasubiri goli la Saba (wiki). Likifungwa tunaondoka. Siku tulikaa hadi mwisho ni pale Mpwapwa walipotugomea kufungwa wiki, tukawafunga sijui goli 5, basi Mazengo ilikuwa huzuni saaaaana na Mpwapwa ilikuwa furaha kubwa.