Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
Kamanda Kova Kandaa maalum ya Dar
TZR au Farasi mweupe zilitesa sanahuyu jamaa walimbania kumpa u-IGP..moja kati ya makamanda waliotikisa hapa nchini..nakumbuka enzi yake alianzisha zile difenda za TZR
alikuwa mkoa gani?Koba Kimanga
Dar -es- Salaamalikuwa mkoa gani?
Inaonekana zito hilo, tupia na pm hii.Hahahaaaaa labda niku pm maana
Kwangu mimi Tossi hana mpinzani, alisafisha majambazi katika pori la Biharamulo.kuna makamanda wa polisi wa mikoa waliovuma sana enzi zao za utumishi Jeshini kwa kupambana na uhalifu. Mmoja wapo ni, Venance Tossi.
Tukumbushe wengne unaowajua.
Pale Morogoro mji kasoro bahari palikuwa na afande mmoja anaitwa Sabasita huyu jamaa nuksi.Tiba jembe!ila kuna viaskari vidogo vilitisha sana uswahilini!!!MKAMASHAPU,TEKELO na JITI LA MUHOGO!pande za DSM,pale ujiji m'nyamala kulikuwa na DAVE!sasa hivi kuna pimbi mmoja Kinondoni wa kuitwa SWAI!
Hata Basilio Matei aliimiliki vyema Arusha.alikuwa arusha,anakumbukwa kwa kuteketeza watoto sita wa vigogo arusha.sio siri jamaa aliiweza arusha
R.I.E.PMwindadi Ali-DSM
Ha ha ha huyu tatizo aligeuka akawa kama promota matamasha yote ya wasaniii musoma akawa ye ndo promota...angeendelea angeanzisha hata fiesta yake musoma,ila yule binti yake Karunde Ntobi alimchomeka kua askari alikua amejaaliwa....Paul Ntobi , Mara
Hao wote walikuwa wezi maana uwazi na utawala bora haukuwepo,
Aden Mwamunyangekuna mwamnyange alikuwaga msemaji wa jeshi la polisi sijui yuko wapi siku hizi mzee anapiga vyombo sana
Shinyangahivi Mahita kabla ya kuwa IGP alikuwa rpc mkoa gani!???