hivi Mahita kabla ya kuwa IGP alikuwa rpc mkoa gani!???
Rpc kilimanjaro unajua sababu ya kupewa u IGP?
Si ukiwadi ama kuna lingine?
Hahahaaaaa labda niku pm maana
- David Daud
- Mgema
-Juma Ng'wanang'aka!
-Tryphone Maji.
MkamaShapu huyu wa JF ama?
Kwani we unabisha... Hata wewe ni kundi hilohilo... Nikikuuliza kama unamfahamu Tryphon Maji utakuna kichwa! Madodi ndiyo chandimu kabisa!
Kipindi hicho mkuu wa mkoa wa Dar ni Mary Chipungahelo
Ras wa manyovu hakuna kama yeye bonge la jembe