Tujihadhari na yaliomkuta Patrick Mafisango

Pengine ntakuwa si mwingi wa rehema
kukaa kimya kwa hili lililomkuta kaka yangu rafiki yangu kipenzi p mafisango
pengine waweza jiuliza ilikuwaje nikaandika hili lakini nimewiwa kuandika hili
kama fundisho kwa wengine....
Mafisango p ni rafiki yangu mkubwa na kama mimi nimekuwa nikitoa mawazo pale ninapoweza kuyatoa na kumwachia mwenyewe mengine

kama tujuavyo kwa watanzania wanasema kila kifo ni mapenzi ya mungu lakini mi sikubaliani na hilo ninaposoma biblia maisha ya mwadamu ni miaka 70 ikiongezeka ni baraka za mungu sasa basi mwenye akili utajua hata kama ni ...nahisi baba au mama aliondoka chini ya 70 basi huyo ni shetani na msimsingizie mungu hata kidogo soma biblia inaeleza wazi...so kwa ujumla utaona kaka ameondoka chini ya 70 na hilo linakujulisha si mapenzi ya mungu!!!!!

Turudi kwenye wito kwa wachezaji
sipendi kuzungumzia sana maisha ya p mafisango ila napenda nieleze kaka ameondoka akiwa hoi bin taabani na pombe na hata waliokuwa muhimbili mmoja wapo ni ndugu yangu ambaye aluhuzunika sana sana...sikatai kunywa ila ni vyema mkiwa mko free jueni maisha ni akili na mpira ni nidhamu

sisemi vibaya kwa kaka yangu kama sijakosea hana miezi mitatu kocha alilalamika sana sana kuhusu unywaji wake pale alipoleta zogo na viongozi ingawa alikuwa na haki kulalamika lakini sio kwenda kulalama uongozini akiwa kalewa...ni kocha alisema na kutoa wazo jamani kama mnamruhusu mafisango basi akija mwingine kalewa naomba msinihusishe na hili muendelee kuwalea mtakavyo

sasa basi pengine alipotua alipewa vijisenti ila kama ana ndoa ama mke na kwenda kuishia club wakati mkewe amekaa nyumabni basi sio sawa hata kidogo ..naomba niliweke wazi hilo....kama mlivyosoma ndani ya gari kulikuwa na wanawake wawili na wanaume watatu na mmoja wa ndugu yake aliulizwa akasema ajui mwanamke aklieekuwa mbele ni nani wake tangu waclub

ndugu zanguni wachezaji mjilinde mjiepushe na tamaa za dunia tunawapenda tunawajali kwa kodi zetu tunazoleta hapoo kwenye harambee zenu msituhuzunishe ..natumaini wale
 
Mmmmmmh_inasadikiwa Yesu alikufa akiwa na age ya 33 tu,...hope shetani hausiki hapa..na watoto wadogo je?...hapa kuna harufu ya upotoshaji wa kilokole kama kawaida yake,...ila nimeipenda sana the whole thread...inafundisha...anyway r.i.p young nigga.



ni kweli Yesu alikufa akiwa na huo umri ulioandikwa, na kumbuka kifo cha yesu kilikuwa ni cha kuuawa, na walio mwua walikuwa wapenda shetani kama si shetani- hakuna upotoshaji hapo
 
Ni kweli tumekuwa tukipenda kusimulia stori nzuri tu zinazo mhusu marehemu...... Hapa kaka sijui dada nakupa pongezi kwa kuweza kufunguka...... Hii kitu nilisha anza kupata hofu toka mapema kwani hata waliokuwa wakitoa taarifa walikuwa wanaruka ruka tu yaani hawaeleweki wanachokizungumza...... Tukumbushane tu hii fan jamaa zetu wamekuwa wakijisahau sana wanapo pata vijisenti. Hupenda kufanya anasa ikiwa ni pamoja na kutembea na wake za watu........ Ukumbuke mtu anaposikitika juu ya baya ulilomfanyia kwako ni laana...... Tukumbuke pia kila mtu anapenda mafanikio, ila unapo yabadilisha katika matumizi na kuwa ni karaha kwa wenzio ndipo unapo poteza baraka na mafanikio kwa ujumla..... Mungu atsidie tulio baki tuwe na adabu.....
 
DONT BE STUPID, YESU had a mission, and dont ever compare him WITH THIS, HE HAD A MISSION THAT WE SURVIVE AND HAVE ETERNAL LIFE, HE HAS TO DIE, BUT THEN HE RAISED AGAIN, COMMENT YA JAMAA IS VERY FAIR ...

Mmmmmmh_inasadikiwa Yesu alikufa akiwa na age ya 33 tu,...hope shetani hausiki hapa..na watoto wadogo je?...hapa kuna harufu ya upotoshaji wa kilokole kama kawaida yake,...ila nimeipenda sana the whole thread...inafundisha...anyway r.i.p young nigga.
 
Mmmmmmh_inasadikiwa Yesu alikufa akiwa na age ya 33 tu,...hope shetani hausiki hapa..na watoto wadogo je?...hapa kuna harufu ya upotoshaji wa kilokole kama kawaida yake,...ila nimeipenda sana the whole thread...inafundisha...anyway r.i.p young nigga.

Mkuu miaka sabini ni kwa wanadamu kumbuka Yesu ni MUNGU si binadamu kama wewe na mimi na anaishi milele alishinda mauti utake usitake.
 
Wabongo wengi wanatabia ya kusikiliza ushauri wakati wa tukio but baada ya muda husahau kila kitu thanks kwa kuwakumbusha mweye sikio asikie! RIP PATRIC MAFISANGO!
 
Tanzania tuna tatizo kubwa kupita maelezo la watu kuendesha gari wakiwa wamelewa. Sijui itafanyika campaign ya aina gani lakini ukweli tuna tatizo kubwa. Ukipita kwenye bar nyingi siku za weekend, magari ni mengi, watu wanakunywa na baadae wanashika usukani!

Inawezekana askari asikukamate lakini kubwa ni hii hatari ya kupata ajali na kuacha familia/watoto yatima. This is where kila mtu anatakiwa aanze kufikiria kwa makini. Pombe na usukani Vs family. Kama mtu unakunywa pombe na marafiki zako, kwa nini msichange na kuchukua taxi? Mafisango RIP.
 
Mshahara wa dhambi ni mauti
ukimpenda MUNGU naye atakupenda zaidi
zawadi yako ni maisha marefu na yenye amani duniani na mbinguni
(OMBA KIFO CHEMA
 
wasiopenda kuona ukweli ukitawala watakupinga mkuu ila huu ujumbe hapa ni mahala pake na umeuleta wakati muafaka.utawasaidie wengine kujiepusha na tabia zinazokatiza maisha yao mapema

kufa ukiwa umelewa noma!!!
Mungu atusamehe dhambi zetu atujalie kifo chema
 
Back
Top Bottom