Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Kadri miaka inavyozidi kwenda mbele ndivyo ujinga wa mtu mweusi unajidhihirisha wazi pasi kuacha shaka,watu weupe ndio maana huwa ona kama monkey.

Kaburu Botha alisha sema muda mrefu sana kwamba "Mwafrika hawezi kujitawala"

"Kuna Karne itafika kwa wajinga kuwa viongozi na werevu kuwa wafuasi nadhani Karne yenyewe ndo hii"Shaaban Robert

"Upumbavu ni kipaji kama ilivyo ufupi na urefu ,huwezi muelimisha mpumbavu akaacha upumbavu wake"Mwl.Nyerere.

Watanzania kwa sasa wapo katika kiwango cha upumbavu na sio ujinga,huwezi weka imani kwa vilaza na mazuzu kuleta mageuzi ya kiuchumi, kisiasa na kijamii pasi kuacha sayansi na teknolijia.

Mkuu wewe sio Muafrika? Mbona wajitukana? Tuonyesha ulichofanya tofauti kuhusu hoja hii kuonyesha wenzako ni kima wewe ndio Muafrika pekee?

Mkuu usitukane waafrika wote kwa mapungufu ya wenzao wachache! Ubuntu!
 
Binafsi sina cha kupongeza, wala kushukuru. Maana natambua fika watawala wa CCM ni wabinafsi waliopitiliza! Na kimsingi hawana nia yoyote ile njema na Taifa letu.

Mkuu watawala hutokana na jamii ipi? Sio ya kitanzania? Uwaonavyo watawala ndivyo tulivyo watanzania wote. Hata wewe ukiwekwa pale utakuwa hivyo tu?

Pima tabia ya hawa wafuatao wakiwa nje ya utawala na wakiwa ndani ya utawala utani elewa!

Tuanze na Dr. Slaa, Dr. Molel, Waitara, Katambi, Dr. Bashiru, Motatiro, Kafulila, Shonza na kadhalika.

Mkuu watawala ni true reflection ya jinsi jamii ilivyo!
 
Mkuu wewe sio Muafrika? Mbona wajitukana? Tuonyesha ulichofanya tofauti kuhusu hoja hii kuonyesha wenzako ni kima wewe ndio Muafrika pekee?

Mkuu usitukane waafrika wote kwa mapungufu ya wenzao wachache! Ubuntu!
Sio kama najitukana mkuu hapana, upumbavu wa walio wengi hufanya jamii nzima ionekane niya kipumbavu.mwanafalsa Plato anasema hivi

"Wenye akili timamu wasipo jishughulisha na mambo yanayo husu taifa lao mwisho hutawaliwa na wajinga"

Watanzania tumekubali ( both wenye akili na wasio na akili),kutawaliwa na wajinga hivyo lazima tuvune matumda ya ujinga wetu.

Na wakati huo huo viongozi wenye akili kama Nelson Mandella aliwahi sema hivi

"Ni vema viongozi wajao wa kiafrika kuwa na akili zaidi ya sisi wapigania uhuru,maana yajayo yanahitaji akili na uthubutu"

Angalia viongozi wetu ni aibu ,Kama mtu alipata yai kidato Cha Nne,alafu huyo ndo manager wa kampuni yetu, hiki ni kichekesho Cha Karne.
 
Does this guy’s [Pasko] elevator go all the way to the top?

The amount of drivel he spews leaves a lot of unanswered questions about his state of mind!

Does this guy’s [Pasko] elevator go all the way to the top?

The amount of drivel he spews leaves a lot of unanswered questions about his state of mind!

Sio kama najitukana mkuu hapana, upumbavu wa walio wengi hufanya jamii nzima ionekane niya kipumbavu.mwanafalsa Plato anasema hivi

"Wenye akili timamu wasipo jishughulisha na mambo yanayo husu taifa lao mwisho hutawaliwa na wajinga"

Watanzania tumekubali ( both wenye akili na wasio na akili),kutawaliwa na wajinga hivyo lazima tuvune matumda ya ujinga wetu.

Na wakati huo huo viongozi wenye akili kama Nelson Mandella aliwahi sema hivi

"Ni vema viongozi wajao wa kiafrika kuwa na akili zaidi ya sisi wapigania uhuru,maana yajayo yanahitaji akili na uthubutu"

Angalia viongozi wetu ni aibu ,Kama mtu alipata yai kidato Cha Nne,alafu huyo ndo manager wa kampuni yetu, hiki ni kichekesho Cha Karne.

Mkuu duniani kote kuwa na akili au elimu ya juu hakujawahi kumkomboa mtu kutoka kwenye minyoro ya utumwa/ukoloni wa aina yoyote.

Attributes pekee na zilizothibitika kuleta mabadiliko/ukombozi ni nguvu ya umma, ujasiri na uongozi dhabiti.

Mfano mzuri tazama duniani majeshi yote ya ardhini (infantry) hayana wasomi wa hivyo. Msingi wao ni nguvu ya pamoja, ujasiri na uongozi dhabiti!
 
Wanabodi,

Huu ni wito kwa Watanzania tujifunze kuwa ni watu wa shukrani, tuwe na shukrani kwa kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Je tujifunze kuwa na shukrani kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Japo tulitaka kikubwa, Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, tumepewa kiduchu tuu!, je tukipokee tushukuru, au tususe na kuendelea kudai kikubwa?.

Mtu ukiwa na shida fulani kubwa, mfano una dharura unahitaji shilingi milioni, ukabisha hodi kwa majirani, ndugu, jamaa na marafiki kuwaomba milioni, kila unae muomba hana hiyo milioni, anakuambia nina laki, kwa vile shida yako ni milioni, hiyo laki haiwezi kusaidia kitu, je utaacha kuipokea hiyo laki na kuendelea kutafuta milioni?, au utaipokea hiyo laki na kushukuru, kisha utaendelea kutafuta ile milioni ambayo sasa ni laki tisa!.

Huu ni wito kwa Watanzania haswa vyama vya siasa, wadau wa demokrasia na wanaharakati, najua mnataka katiba mpya, tume huru na shirikishi ya uchaguzi na sheria nzuri ya uchaguzi yenye kutoa haki kwa kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, nawasihii pokeeni hiki kidogo mlichopewa, shukuruni kwa kidogo, kisha endeleeni kutafuta hicho kikubwa!. Haba nah aba hujaza kibaba!. Safari ni hatua, huu ni mwanzo.

Pongezi Rais Samia kwa Mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi na Sheria ya Uchaguzi, Tanzania kitu inachohitaji kwanza ni mabadiliko ya katiba ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria, maadam sasa tumeletewa mabadiliko ya sheria, tuyapokee, tushukuru kisha tuendelee kuomba mabadiliko ya katiba ili yaendane na mabadiliko ya sheria hizi.

Nimeianza makala ya leo kwa kusisitiza umuhimu wa kuwa na shukrani kwa madogo ili upatiwe makubwa, kwasababu kilio kikubwa cha demokrasia yetu nchini Tanzania, ni kilio cha katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.

Lakini muda ulibaki kufikia 2025 ni muda mfupi kwa mchakato wa katiba mpya, hivyo serikali yetu sikivu ikaona tuanze na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na Tume ya Uchaguzi.

Kwavile tulichokitaka ni kikubwa, tumekikosa tulichokitaka hivyo tupokee kwanza hiki kidogo kilichopatikana na kushukuru kwa kusema asante, kisha tuendelee kuomba kile kikubwa tunacho kiomba na kukihitaji.

Kwenye safu hii, nimeandika zaidi ya mara 10 kuhusu hitaji la katiba mpya, mabadiliko ya katiba, sheria ya uchaguzi na mambo ya demokrasia.

Baadhi ya mada zangu ni hizi

"Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria"

" Fupa hili la katiba, lililowashinda wanaume wanne, jee mwanamke mmoja ataliweza?"

"Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa?"

"Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Je Rais Samia Ataliweza ?.

Sasa jana Ijumaa ya tarehe 10 November, 2023 ni kama siku ya ukombozi mpya fulani kwenye demokrasia ya taifa letu la Tanzania, kuanza kulishungulikia Lile Fupa la katiba Lililowashinda Marais Wanaume 4 kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke mmoja, ameonyesha ushujaa mkubwa ndani ya awamu yake ya sita, akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kuileta hii miswada mitatu ya ukombozi mpya wa demokrasia ya taifa Letu, imetua Bungeni Dodoma.

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo japo ni tume huru, haikuwa shirikishi, sasa tunakwenda kuunda Tume Huru zaidi ya Uchaguzi ambayo itakuwa shirikishi zaidi kuliko tume iliyopo.

Pia Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kurekebisha kasoro mbalimbali kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Miswada hiyo tayari imeisha somwa Bungeni kwa mara ya kwanza, na tayari iko wazi kwenye tovuti ya Bunge.

Hatua ya pili ni kwa wadau kutoa maoni yao kuhusu miswada hii kwa kipindi cha miezi 3, halafu kikao cha Bunge cha February 2024 itasomwa kwa mara ya pili ikiwa imejumuisha maoni ya wadau, kisha kujadiliwa na Wabunge, ndipo ipitishwe.

Hivyo hiki kitendo tuu cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ya Rais Samia kuboresha demokrasia nchini, anastahili pongezi za dhati na pia kuendelea kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko hata wanaume kwenye baadhi ya maeneo.

Kwa vile tulichotaka sicho tulichopewa, tulitaka kikubwa tumepewa kidogo, tukipokee na tuna miezi mitatu ya kukijadili, tuendelee kuomba kile kikubwa na huwezi jua labda hata ile hoja yangu ya " Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!" inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa Rais msikikivu Mama Samia, mara ghafla akatuletea maji ya kunawa kwa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ndipo tubadilishe hizi sheria.


Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Katiba mpya na tume huru siyo hisani ni mahitaji yetu kwa sasa. Ushauri wangu ni kwanza tusisubiri mpaka wananchi wazidai kwa njia ya nguvu. Tukisubiri watumie nguvu Wadai hali itakuwa mbaya sana.
Nakumbuka wakati wa mswada wa katiba mpya Kabudi alionya kuwa watanganyika ni watu ambao hawaeleweki kama ilivyo wazanzibari. Wazanzibari msimamo wao unajulikana kwenye mambo mengi. Watanganyika si watu wa kuweka misimamo yao hadharani. Hii ni hatari sana sababu hakuna mtu anajua wanachofikiria kufanya. Naomba nisizungumze zaidi lakini wenye akili wameelewa
 
Mkuu watawala hutokana na jamii ipi? Sio ya kitanzania? Uwaonavyo watawala ndivyo tulivyo watanzania wote. Hata wewe ukiwekwa pale utakuwa hivyo tu?

Pima tabia ya hawa wafuatao wakiwa nje ya utawala na wakiwa ndani ya utawala utani elewa!

Tuanze na Dr. Slaa, Dr. Molel, Waitara, Katambi, Dr. Bashiru, Motatiro, Kafulila, Shonza na kadhalika.

Mkuu watawala ni true reflection ya jinsi jamii ilivyo!
kwa hiyo unashauri tubaki hivi hivi? Usiangalie katiba mpya kwa ajili ya kukuletea njia muafaka ya kuingia madarakani bali uhitaji kwa maendeleo na usitawi wa nchi
 
Wanabodi,

Huu ni wito kwa Watanzania tujifunze kuwa ni watu wa shukrani, tuwe na shukrani kwa kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Je tujifunze kuwa na shukrani kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Japo tulitaka kikubwa, Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, tumepewa kiduchu tuu!, je tukipokee tushukuru, au tususe na kuendelea kudai kikubwa?.

Mtu ukiwa na shida fulani kubwa, mfano una dharura unahitaji shilingi milioni, ukabisha hodi kwa majirani, ndugu, jamaa na marafiki kuwaomba milioni, kila unae muomba hana hiyo milioni, anakuambia nina laki, kwa vile shida yako ni milioni, hiyo laki haiwezi kusaidia kitu, je utaacha kuipokea hiyo laki na kuendelea kutafuta milioni?, au utaipokea hiyo laki na kushukuru, kisha utaendelea kutafuta ile milioni ambayo sasa ni laki tisa!.

Huu ni wito kwa Watanzania haswa vyama vya siasa, wadau wa demokrasia na wanaharakati, najua mnataka katiba mpya, tume huru na shirikishi ya uchaguzi na sheria nzuri ya uchaguzi yenye kutoa haki kwa kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, nawasihii pokeeni hiki kidogo mlichopewa, shukuruni kwa kidogo, kisha endeleeni kutafuta hicho kikubwa!. Haba nah aba hujaza kibaba!. Safari ni hatua, huu ni mwanzo.

Pongezi Rais Samia kwa Mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi na Sheria ya Uchaguzi, Tanzania kitu inachohitaji kwanza ni mabadiliko ya katiba ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria, maadam sasa tumeletewa mabadiliko ya sheria, tuyapokee, tushukuru kisha tuendelee kuomba mabadiliko ya katiba ili yaendane na mabadiliko ya sheria hizi.

Nimeianza makala ya leo kwa kusisitiza umuhimu wa kuwa na shukrani kwa madogo ili upatiwe makubwa, kwasababu kilio kikubwa cha demokrasia yetu nchini Tanzania, ni kilio cha katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.

Lakini muda ulibaki kufikia 2025 ni muda mfupi kwa mchakato wa katiba mpya, hivyo serikali yetu sikivu ikaona tuanze na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na Tume ya Uchaguzi.

Kwavile tulichokitaka ni kikubwa, tumekikosa tulichokitaka hivyo tupokee kwanza hiki kidogo kilichopatikana na kushukuru kwa kusema asante, kisha tuendelee kuomba kile kikubwa tunacho kiomba na kukihitaji.

Kwenye safu hii, nimeandika zaidi ya mara 10 kuhusu hitaji la katiba mpya, mabadiliko ya katiba, sheria ya uchaguzi na mambo ya demokrasia.

Baadhi ya mada zangu ni hizi

"Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria"

" Fupa hili la katiba, lililowashinda wanaume wanne, jee mwanamke mmoja ataliweza?"

"Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa?"

"Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Je Rais Samia Ataliweza ?.

Sasa jana Ijumaa ya tarehe 10 November, 2023 ni kama siku ya ukombozi mpya fulani kwenye demokrasia ya taifa letu la Tanzania, kuanza kulishungulikia Lile Fupa la katiba Lililowashinda Marais Wanaume 4 kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke mmoja, ameonyesha ushujaa mkubwa ndani ya awamu yake ya sita, akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kuileta hii miswada mitatu ya ukombozi mpya wa demokrasia ya taifa Letu, imetua Bungeni Dodoma.

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo japo ni tume huru, haikuwa shirikishi, sasa tunakwenda kuunda Tume Huru zaidi ya Uchaguzi ambayo itakuwa shirikishi zaidi kuliko tume iliyopo.

Pia Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kurekebisha kasoro mbalimbali kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Miswada hiyo tayari imeisha somwa Bungeni kwa mara ya kwanza, na tayari iko wazi kwenye tovuti ya Bunge.

Hatua ya pili ni kwa wadau kutoa maoni yao kuhusu miswada hii kwa kipindi cha miezi 3, halafu kikao cha Bunge cha February 2024 itasomwa kwa mara ya pili ikiwa imejumuisha maoni ya wadau, kisha kujadiliwa na Wabunge, ndipo ipitishwe.

Hivyo hiki kitendo tuu cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ya Rais Samia kuboresha demokrasia nchini, anastahili pongezi za dhati na pia kuendelea kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko hata wanaume kwenye baadhi ya maeneo.

Kwa vile tulichotaka sicho tulichopewa, tulitaka kikubwa tumepewa kidogo, tukipokee na tuna miezi mitatu ya kukijadili, tuendelee kuomba kile kikubwa na huwezi jua labda hata ile hoja yangu ya " Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!" inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa Rais msikikivu Mama Samia, mara ghafla akatuletea maji ya kunawa kwa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ndipo tubadilishe hizi sheria.


Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Yaani kwamba kamati ya bunge ipokee maoni tofauti na matakwa ya serikali ya chama chao? Ndugu Paskali wewe ni mjuzi sana wa haya mambo usijipe matumaini ambayo hayapo
 
Mkuu watawala hutokana na jamii ipi? Sio ya kitanzania? Uwaonavyo watawala ndivyo tulivyo watanzania wote. Hata wewe ukiwekwa pale utakuwa hivyo tu?

Pima tabia ya hawa wafuatao wakiwa nje ya utawala na wakiwa ndani ya utawala utani elewa!

Tuanze na Dr. Slaa, Dr. Molel, Waitara, Katambi, Dr. Bashiru, Motatiro, Kafulila, Shonza na kadhalika.

Mkuu watawala ni true reflection ya jinsi jamii ilivyo!
Tusichokijua ni kwamba kila mtu anapigania tumbo ndugu zangu. Watu wanasaka Ulaji nyinyi mnaweka mategemeo hakika mimi nishaachaga huo upuzi kitambo
 
Wanabodi,

Huu ni wito kwa Watanzania tujifunze kuwa ni watu wa shukrani, tuwe na shukrani kwa kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Je tujifunze kuwa na shukrani kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Japo tulitaka kikubwa, Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, tumepewa kiduchu tuu!, je tukipokee tushukuru, au tususe na kuendelea kudai kikubwa?.

Mtu ukiwa na shida fulani kubwa, mfano una dharura unahitaji shilingi milioni, ukabisha hodi kwa majirani, ndugu, jamaa na marafiki kuwaomba milioni, kila unae muomba hana hiyo milioni, anakuambia nina laki, kwa vile shida yako ni milioni, hiyo laki haiwezi kusaidia kitu, je utaacha kuipokea hiyo laki na kuendelea kutafuta milioni?, au utaipokea hiyo laki na kushukuru, kisha utaendelea kutafuta ile milioni ambayo sasa ni laki tisa!.

Huu ni wito kwa Watanzania haswa vyama vya siasa, wadau wa demokrasia na wanaharakati, najua mnataka katiba mpya, tume huru na shirikishi ya uchaguzi na sheria nzuri ya uchaguzi yenye kutoa haki kwa kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, nawasihii pokeeni hiki kidogo mlichopewa, shukuruni kwa kidogo, kisha endeleeni kutafuta hicho kikubwa!. Haba nah aba hujaza kibaba!. Safari ni hatua, huu ni mwanzo.

Pongezi Rais Samia kwa Mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi na Sheria ya Uchaguzi, Tanzania kitu inachohitaji kwanza ni mabadiliko ya katiba ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria, maadam sasa tumeletewa mabadiliko ya sheria, tuyapokee, tushukuru kisha tuendelee kuomba mabadiliko ya katiba ili yaendane na mabadiliko ya sheria hizi.

Nimeianza makala ya leo kwa kusisitiza umuhimu wa kuwa na shukrani kwa madogo ili upatiwe makubwa, kwasababu kilio kikubwa cha demokrasia yetu nchini Tanzania, ni kilio cha katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.

Lakini muda ulibaki kufikia 2025 ni muda mfupi kwa mchakato wa katiba mpya, hivyo serikali yetu sikivu ikaona tuanze na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na Tume ya Uchaguzi.

Kwavile tulichokitaka ni kikubwa, tumekikosa tulichokitaka hivyo tupokee kwanza hiki kidogo kilichopatikana na kushukuru kwa kusema asante, kisha tuendelee kuomba kile kikubwa tunacho kiomba na kukihitaji.

Kwenye safu hii, nimeandika zaidi ya mara 10 kuhusu hitaji la katiba mpya, mabadiliko ya katiba, sheria ya uchaguzi na mambo ya demokrasia.

Baadhi ya mada zangu ni hizi

"Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria"

" Fupa hili la katiba, lililowashinda wanaume wanne, jee mwanamke mmoja ataliweza?"

"Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa?"

"Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Je Rais Samia Ataliweza ?.

Sasa jana Ijumaa ya tarehe 10 November, 2023 ni kama siku ya ukombozi mpya fulani kwenye demokrasia ya taifa letu la Tanzania, kuanza kulishungulikia Lile Fupa la katiba Lililowashinda Marais Wanaume 4 kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke mmoja, ameonyesha ushujaa mkubwa ndani ya awamu yake ya sita, akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kuileta hii miswada mitatu ya ukombozi mpya wa demokrasia ya taifa Letu, imetua Bungeni Dodoma.

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo japo ni tume huru, haikuwa shirikishi, sasa tunakwenda kuunda Tume Huru zaidi ya Uchaguzi ambayo itakuwa shirikishi zaidi kuliko tume iliyopo.

Pia Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kurekebisha kasoro mbalimbali kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Miswada hiyo tayari imeisha somwa Bungeni kwa mara ya kwanza, na tayari iko wazi kwenye tovuti ya Bunge.

Hatua ya pili ni kwa wadau kutoa maoni yao kuhusu miswada hii kwa kipindi cha miezi 3, halafu kikao cha Bunge cha February 2024 itasomwa kwa mara ya pili ikiwa imejumuisha maoni ya wadau, kisha kujadiliwa na Wabunge, ndipo ipitishwe.

Hivyo hiki kitendo tuu cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ya Rais Samia kuboresha demokrasia nchini, anastahili pongezi za dhati na pia kuendelea kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko hata wanaume kwenye baadhi ya maeneo.

Kwa vile tulichotaka sicho tulichopewa, tulitaka kikubwa tumepewa kidogo, tukipokee na tuna miezi mitatu ya kukijadili, tuendelee kuomba kile kikubwa na huwezi jua labda hata ile hoja yangu ya " Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!" inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa Rais msikikivu Mama Samia, mara ghafla akatuletea maji ya kunawa kwa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ndipo tubadilishe hizi sheria.


Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Ni aibu sana kuwa na mwandishi wa habari mwandamizi mwenye mtazamo wa aina hii.
 
Mkuu dunia kote kuwa akili au elimu ya juu hakujawahi kumkomboa mtu kutoka kwenye minyoro ya utumwa/ukoloni wa aina yoyote.

Attributes pekee na zilizothibitika kuleta mabadiliko/ukombozi ni nguvu ya umma, ujasiri na uongozi dhabiti.

Mfano mzuri tazama duniani majeshi yote ya ardhini (infantry) hayana wasomi wa hivyo. Msingi wao ni nguvu ya pamoja, ujasiri na uongozi dhabiti!
Hakuna sehemu ambayo nimeweka wazi kwamba mtu kuwa na Elimu ya juu basi anaondokana na ujinga wake.Mwanafalsa Socrates alikuwa anawashinda kwa hoja Sophists ambao walikuwa wasomi haswa.

Viongozi lazima waandaliwe na watu wenye akili ili waje waongoze kwa akili kubwa hili tunaliona kwa mfalme Philip ii wa Masedonia alimtafutia mtoto wake Alexander the great Mwalimu mwenye akili kubwa na mwanafalsa Aristotle,na mpaka sasa historia ya Alexander the great inasomwa na watu wote duniani.

Mageuzi huletwa na watu wachache wenye akili kubwa,kutengemea mageuzi yataletwa na watu wengi wajinga ni kupoteza muda.
 
Wanabodi,

Huu ni wito kwa Watanzania tujifunze kuwa ni watu wa shukrani, tuwe na shukrani kwa kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Je tujifunze kuwa na shukrani kwa madogo ili tupatiwe makubwa!. Japo tulitaka kikubwa, Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, tumepewa kiduchu tuu!, je tukipokee tushukuru, au tususe na kuendelea kudai kikubwa?.

Mtu ukiwa na shida fulani kubwa, mfano una dharura unahitaji shilingi milioni, ukabisha hodi kwa majirani, ndugu, jamaa na marafiki kuwaomba milioni, kila unae muomba hana hiyo milioni, anakuambia nina laki, kwa vile shida yako ni milioni, hiyo laki haiwezi kusaidia kitu, je utaacha kuipokea hiyo laki na kuendelea kutafuta milioni?, au utaipokea hiyo laki na kushukuru, kisha utaendelea kutafuta ile milioni ambayo sasa ni laki tisa!.

Huu ni wito kwa Watanzania haswa vyama vya siasa, wadau wa demokrasia na wanaharakati, najua mnataka katiba mpya, tume huru na shirikishi ya uchaguzi na sheria nzuri ya uchaguzi yenye kutoa haki kwa kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, nawasihii pokeeni hiki kidogo mlichopewa, shukuruni kwa kidogo, kisha endeleeni kutafuta hicho kikubwa!. Haba nah aba hujaza kibaba!. Safari ni hatua, huu ni mwanzo.

Pongezi Rais Samia kwa Mabadiliko ya Tume ya Uchaguzi na Sheria ya Uchaguzi, Tanzania kitu inachohitaji kwanza ni mabadiliko ya katiba ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria, maadam sasa tumeletewa mabadiliko ya sheria, tuyapokee, tushukuru kisha tuendelee kuomba mabadiliko ya katiba ili yaendane na mabadiliko ya sheria hizi.

Nimeianza makala ya leo kwa kusisitiza umuhimu wa kuwa na shukrani kwa madogo ili upatiwe makubwa, kwasababu kilio kikubwa cha demokrasia yetu nchini Tanzania, ni kilio cha katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.

Lakini muda ulibaki kufikia 2025 ni muda mfupi kwa mchakato wa katiba mpya, hivyo serikali yetu sikivu ikaona tuanze na mabadiliko ya sheria za uchaguzi na Tume ya Uchaguzi.

Kwavile tulichokitaka ni kikubwa, tumekikosa tulichokitaka hivyo tupokee kwanza hiki kidogo kilichopatikana na kushukuru kwa kusema asante, kisha tuendelee kuomba kile kikubwa tunacho kiomba na kukihitaji.

Kwenye safu hii, nimeandika zaidi ya mara 10 kuhusu hitaji la katiba mpya, mabadiliko ya katiba, sheria ya uchaguzi na mambo ya demokrasia.

Baadhi ya mada zangu ni hizi

"Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria"

" Fupa hili la katiba, lililowashinda wanaume wanne, jee mwanamke mmoja ataliweza?"

"Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani: Je Wajua Kuna Wanawake Wana Uwezo Mkubwa Kuliko Wanaume ila Wamekuwa Wanabaniwa?"

"Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Je Rais Samia Ataliweza ?.

Sasa jana Ijumaa ya tarehe 10 November, 2023 ni kama siku ya ukombozi mpya fulani kwenye demokrasia ya taifa letu la Tanzania, kuanza kulishungulikia Lile Fupa la katiba Lililowashinda Marais Wanaume 4 kwa kipindi cha miaka 40!, Rais Samia, ambaye ni rais Mwanamke mmoja, ameonyesha ushujaa mkubwa ndani ya awamu yake ya sita, akiwa ndani ya kipindi cha miaka miwili tuu na miezi kadhaa, kuileta hii miswada mitatu ya ukombozi mpya wa demokrasia ya taifa Letu, imetua Bungeni Dodoma.

Miswada hiyo ni Mswada wa mabadiliko ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo japo ni tume huru, haikuwa shirikishi, sasa tunakwenda kuunda Tume Huru zaidi ya Uchaguzi ambayo itakuwa shirikishi zaidi kuliko tume iliyopo.

Pia Muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi kurekebisha kasoro mbalimbali kwenye sheria yetu ya uchaguzi na muswada wa kurekebisha ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa nchini.

Miswada hiyo tayari imeisha somwa Bungeni kwa mara ya kwanza, na tayari iko wazi kwenye tovuti ya Bunge.

Hatua ya pili ni kwa wadau kutoa maoni yao kuhusu miswada hii kwa kipindi cha miezi 3, halafu kikao cha Bunge cha February 2024 itasomwa kwa mara ya pili ikiwa imejumuisha maoni ya wadau, kisha kujadiliwa na Wabunge, ndipo ipitishwe.

Hivyo hiki kitendo tuu cha serikali ya awamu ya sita kuwasilisha tuu miswada hii ni uthibitisho wa nia njema na dhamira ya dhati ya Rais Samia kuboresha demokrasia nchini, anastahili pongezi za dhati na pia kuendelea kuthibitisha Wanawake wana uwezo mkubwa kuliko hata wanaume kwenye baadhi ya maeneo.

Kwa vile tulichotaka sicho tulichopewa, tulitaka kikubwa tumepewa kidogo, tukipokee na tuna miezi mitatu ya kukijadili, tuendelee kuomba kile kikubwa na huwezi jua labda hata ile hoja yangu ya " Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!" inaweza kupatiwa ufumbuzi kwa Rais msikikivu Mama Samia, mara ghafla akatuletea maji ya kunawa kwa mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura, ndipo tubadilishe hizi sheria.


Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Mkuu Pascal Mayalla Tangu jana nimeomba unionyeshe mabadikiko ya hiyo sheria ya Tume ya uchaguzi maana me naona haijabadilika iko sawa japo walichobadilisha ni maneno tu..

Maana yaliyolalamikiwa bado yapo
Kwa mfano bado mkurugenzi ni msimamizi wa Uchaguzi..
Screenshot_20231111-124002.png
 
Back
Top Bottom