carter
JF-Expert Member
- Jan 23, 2009
- 3,664
- 4,249
Helo wadau wa hapa,
ni matumaini mko poa na mnaendelea vizuri kwa michakato yenu ya kila siku.
kwenye topiki moja kwa moja sasa, kuna tabia flani inanitatiza kidogo hasa kwetu wanaume ndo nimezoea kushuhudia kuna watu hawawezi kumtongoza msichana alie single! Yan had pale mtu atakapoona msichana ana date na flan na yeye ndio anajipenyeza hapo hapo na kuanza kumuimbisha mtoto wa kike.
mfano unaweza kuta msichana ni wa mtaani kwako,au unasoma nae au ni mfanyakazi mwenzako na uko nae kila siku kwa stori za kawaida tu..ila unapoona kuna kidume anamyemelea na wewe ndio unapata gear ya kuanza kumtaka kimapenzi. Hapo huwa sielewi imekaaje hii? Hivi ni katabia au ni tatizo la kisaikolojia linalopelekea watu kutongoza wake,wachumba na ma girlfriend wa watu tu?
nimeshakutana na situation kama hizo nyingi sana..kama mdau na wewe ulisha experience kitu kama hii hebu tujadili kwa pamoja huwa ni nini kina wa drive watu ku chase wanawake ambao wako occupied il hali time hao kina dada wakiwa single wanawaacha tu wanasubir had wawe na wapenz ndio wanaanza kuonesha feelings zao?
karibuni...
ni matumaini mko poa na mnaendelea vizuri kwa michakato yenu ya kila siku.
kwenye topiki moja kwa moja sasa, kuna tabia flani inanitatiza kidogo hasa kwetu wanaume ndo nimezoea kushuhudia kuna watu hawawezi kumtongoza msichana alie single! Yan had pale mtu atakapoona msichana ana date na flan na yeye ndio anajipenyeza hapo hapo na kuanza kumuimbisha mtoto wa kike.
mfano unaweza kuta msichana ni wa mtaani kwako,au unasoma nae au ni mfanyakazi mwenzako na uko nae kila siku kwa stori za kawaida tu..ila unapoona kuna kidume anamyemelea na wewe ndio unapata gear ya kuanza kumtaka kimapenzi. Hapo huwa sielewi imekaaje hii? Hivi ni katabia au ni tatizo la kisaikolojia linalopelekea watu kutongoza wake,wachumba na ma girlfriend wa watu tu?
nimeshakutana na situation kama hizo nyingi sana..kama mdau na wewe ulisha experience kitu kama hii hebu tujadili kwa pamoja huwa ni nini kina wa drive watu ku chase wanawake ambao wako occupied il hali time hao kina dada wakiwa single wanawaacha tu wanasubir had wawe na wapenz ndio wanaanza kuonesha feelings zao?
karibuni...