Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Leo nimeshtushwa na kauli ya wazir mkuu kuwa bei ya umeme lazima iongezeke. Nkafanya simple analysis kuwa, nishati (mafuta + umeme) juu + bei ya bidhaa na huduma juu = gharama kubwa za maisha. Watu/wafanya kazi watadai nyongeza za mishahara ili wamudau gharama za maisha, hiyo itaongeza zaidi gharama za uzalishaji. Athali ni kupunguzwa kwa namba ya wafanyakazi ili kupunguza gharama, kupunguza ubora wa bidhaa ili kuzalisha bidhaa nyingi/kwa gharama nafuu, mfumuko zaidi wa bei....etc. Sasa hapa jf ndo sehemu pekee iliyo baki kwa kutafuta ufumbuzi wa matatizo kwa sasa. Nawaomba great thnkers tujadili hii hali na ku propose solutions. TAFADHALI SITEGEMEI MAJIBU YANAYO LAUMU WANASIASA. Just changia lakini usitoe lawama coz hzo lawama tusha choshwa nazo. Karibuni.