Tujadili kuhusu Nissan X-trail

bullet

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
1,047
540
Kama miaka miwili au zaidi kidogo kulikuwa na maswali mengi kuhusu magari ya Nissan X-trail, wengine wakiyaponda na wengine wakisema ni magari mazuri.

Kwa siku za karibuni maswali yamepungua na Nissan X-trail zinazidi kuwa nyingi mtaani. Je, watumiaji wamegundua mahitaji yake kwa sasa na ndio maana maswali na malalamiko yamepungua huku magari hayo yakizidi kuwa mengi barabarani?

=====
Hoja za wadau
Haina tatizo na haijawai kuwa na tatizo na ndio maana ipo sokoni tangu mwaka 2001.

Tatizo ni wagonga vyuma na wafungua nati wa Tanzania, ikija gari yenye mifumo mipya inatumika kama training device (kifaa cha mafunzo).

Kama huamini waulize wapiga nyundo kuhusu injini za D4D utasikia hamna kitu mule hazifai.

Saizi unaziona nyingi mtaani xtrail kwakuwa wagonga nyundo wameshaua za kutosha kupata uzoefu wa kuzi mantain. Otherwise X trail is one of the best SUV

Saizi kuna hybrid cars. Uliza mtu hapa usikie, kashifa na matatizo yake yoye hapa ya kubumba.
 
Haina tatizo na haijawai kuwa na tatizo na ndio maana ipo sokoni tangu mwaka 2001.

Tatizo ni wagonga vyuma na wafungua nati wa Tanzania, ikija gari yenye mifumo mipya inatumika kama training device (kifaa cha mafunzo).

Kama huamini waulize wapiga nyundo kuhusu injini za D4D utasikia hamna kitu mule hazifai.

Saizi unaziona nyingi mtaani xtrail kwakuwa wagonga nyundo wameshaua za kutosha kupata uzoefu wa kuzi mantain. Otherwise X trail is one of the best SUV

Saizi kuna hybrid cars. Uliza mtu hapa usikie, kashifa na matatizo yake yoye hapa ya kubumba.
 
Oil gani ni recommended?
Gear box oil angalia kwenye stick imeandikwa imaitwa MATIC (japo nayo ina categories kulingana na aina ya gari) bei yake ni about 50,000/- per litre. Ila alternatively kuna Oil inaitwa Atlantic Synthetic (CVT) bei yake si kubwa it is around 80,000/- (4 litres) inamwagwa baada ya km 9,000

Gear Box oil, inashauriwa Castrol GTX 20W-50 ukuenda PUMA Petrol stations ina range kwenye shs 60,000/- (5 litres) Hii inashauriwa kumwagwa kila baada ya 3,000km. Ukizingatia hayo Engine na Gear Box havitakaa vikupe taabu.
 
Gear box oil angalia kwenye stick imeandikwa imaitwa MATIC (japo nayo ina categories kulingana na aina ya gari) bei yake ni about 50,000/- per litre. Ila alternatively kuna Oil inaitwa Atlantic Synthetic (CVT) bei yake si kubwa it is around 80,000/- (4 litres) inamwagwa baada ya km 9,000

Gear Box oil, inashauriwa Castrol GTX 20W-50 ukuenda PUMA Petrol stations ina range kwenye shs 60,000/- (5 litres) Hii inashauriwa kumwagwa kila baada ya 3,000km. Ukizingatia hayo Engine na Gear Box havitakaa vikupe taabu.
Ahsante sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gear box oil angalia kwenye stick imeandikwa imaitwa MATIC (japo nayo ina categories kulingana na aina ya gari) bei yake ni about 50,000/- per litre. Ila alternatively kuna Oil inaitwa Atlantic Synthetic (CVT) bei yake si kubwa it is around 80,000/- (4 litres) inamwagwa baada ya km 9,000

Gear Box oil, inashauriwa Castrol GTX 20W-50 ukuenda PUMA Petrol stations ina range kwenye shs 60,000/- (5 litres) Hii inashauriwa kumwagwa kila baada ya 3,000km. Ukizingatia hayo Engine na Gear Box havitakaa vikupe taabu.
Mkuu unachanganya sana mafile kuna tofaut kubwa sana kati ya engine oil na giabox oil
Engine oil inayoshauliwa kwenye hiyo Nissan ni 10w40 au 5w40 iwe synthetic oil na inabadilishwa kati ya Km 5000-7000 na giabox oil ya Nissan hiyo ni matic J na ukisema uweke CVT oil kwenye mfumo wa giabox ambao hautumii CVT itakua unaua giabox yako
Kwa ushaul wa oil na vilainishi vyote vya magari +255719263074
 
Back
Top Bottom