Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wakati watu waliokuwemo kwenye ndoaa uchunguzi umeonyesha wengi wanatamani kutoka
huko kwa namna yoyote ilihali wawe huru pamoja na kutoka kuna wengine wanafikiria je nikitka
ntaweza kuolewa tena na kama nikikosa talaka si naishia kwa wazazi haya maswali namengine ndio
yanafanya wabnandoa wengi kuamua kufia kwenye ndoa za mavumiliano
pamoja na hao wanaotka akutoka ukweli unazidi kuongezeka na kusema walio nje wengi wanatamani
kuingia kwenye ndoa na pengine wengine wanaenda mpaka kwa waganga kupata watu wa kuwaoa
unaweza jua jinsi gani kama tungeruhusiwa kirahisi kuingia kwenye ndoa na kutoka sijui na w ewe leo
ungekuwa wapi ??
Hata hivyo bado wachunguzi wanasema uwezekano wa kuishi maisha ya furaha na amani ni makubwa
zaidi kinachowasumbua watu ni malengo ya kuoana ;wakati kuna watu wengi hivisasa naomba mnisamehe
wengi ni wanawake wakitamani kuolewa just kuondoa gundu ..nikiwa kazini sehemu walitokea wanawake watatu
siku mbili kabkla ya harusi wakasema hivi unapataje jamanai mtu wa kumwoa sie wengine tunatamani hata
ndoa za masaa tu tuachane kesho asbh..so unaweza jua utamjuaje w aaina hii ni ngumu sana kinachotakiwa
ni maombi yako kwa mungu..usijaribu kuogopa ingia najua kuna kundi linajiuliza niingie nisiingie ingia
swala ni jinsi gani unavyoingia ama jinsi gani ya kutunza ndoa yako
kuoa ama kuolewa sio tatizo swala ni jinsi gani ya kutunza hiyo ndoa idumu na kuishi kwa furaha
angaalizo usiombe mungu just kuwa na mwenzangu utaolewa na majini nayo yanajibadilisha na mwisho
unamgeuka mungu ndoa gani hii omba mke ama mume aliesahihi kutoka kwa mungu
all the best wanandoa wote siku ya kesho
hondidy
huko kwa namna yoyote ilihali wawe huru pamoja na kutoka kuna wengine wanafikiria je nikitka
ntaweza kuolewa tena na kama nikikosa talaka si naishia kwa wazazi haya maswali namengine ndio
yanafanya wabnandoa wengi kuamua kufia kwenye ndoa za mavumiliano
pamoja na hao wanaotka akutoka ukweli unazidi kuongezeka na kusema walio nje wengi wanatamani
kuingia kwenye ndoa na pengine wengine wanaenda mpaka kwa waganga kupata watu wa kuwaoa
unaweza jua jinsi gani kama tungeruhusiwa kirahisi kuingia kwenye ndoa na kutoka sijui na w ewe leo
ungekuwa wapi ??
Hata hivyo bado wachunguzi wanasema uwezekano wa kuishi maisha ya furaha na amani ni makubwa
zaidi kinachowasumbua watu ni malengo ya kuoana ;wakati kuna watu wengi hivisasa naomba mnisamehe
wengi ni wanawake wakitamani kuolewa just kuondoa gundu ..nikiwa kazini sehemu walitokea wanawake watatu
siku mbili kabkla ya harusi wakasema hivi unapataje jamanai mtu wa kumwoa sie wengine tunatamani hata
ndoa za masaa tu tuachane kesho asbh..so unaweza jua utamjuaje w aaina hii ni ngumu sana kinachotakiwa
ni maombi yako kwa mungu..usijaribu kuogopa ingia najua kuna kundi linajiuliza niingie nisiingie ingia
swala ni jinsi gani unavyoingia ama jinsi gani ya kutunza ndoa yako
kuoa ama kuolewa sio tatizo swala ni jinsi gani ya kutunza hiyo ndoa idumu na kuishi kwa furaha
angaalizo usiombe mungu just kuwa na mwenzangu utaolewa na majini nayo yanajibadilisha na mwisho
unamgeuka mungu ndoa gani hii omba mke ama mume aliesahihi kutoka kwa mungu
all the best wanandoa wote siku ya kesho
hondidy