hakuna haja ya kumlaumu kijana mwita au kumhukumu kwa kigezo cha aliyofanya akiwa daruso, kwa sasa ameonyesha njia, ni nani huko ccm ukiacha nape, aloyce kimaro, ana kilango anaweza kuwakemea akina lowasa na mafisadi wengine?
kwa kuwa huyu naye ameungana na kundi lilo jema ni vema aktuzwa kwa ushujaa wake, na kwa kusahau yaliyopita, je kama ameamua kuongoka kama Mtume Paul je?
kwa kuwa huyu naye ameungana na kundi lilo jema ni vema aktuzwa kwa ushujaa wake, na kwa kusahau yaliyopita, je kama ameamua kuongoka kama Mtume Paul je?