Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,817
- 15,436
Hahaha burna boy sahivi anatamani airudishe hio tuzo,,, wapopo walivyomkomalia anafumuliwa marinda jamaa hana hamu na hio tuzoHuyo angekuwa ameshafanya hiko kitendo,angekuwa amepata Grammy kama wenzake wa West.
Ambaye inasemekana amebanduliwa na Didy ni the giant,bwana burna boy.
Ukikataa akufanye hiko kitendo basi jua kamwe huwezi kupata hiyo tuzo ya Grammy.