pdidy

  1. DR Mambo Jambo

    Tuhuma za Pdidy: Diamond platnumz alifanywa nini na Pdiddy ambacho anaona aibu kusema mbele ya kamera??

    Kwa Tuhuma zinazoendelea za Pdiddy huko marekani na hasa ya kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja na kulazimisha watu kufanya hivyo na hasa kulawiti baadhi ya watu na kingine kuwafanya watu sexual slaves.. Kuna Intervieww aliwahi kuifanya msanii wa Tanzania (Diamond) Akisema walikwenda Kwa...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kucha Zako Za Mikononi Zinavyoweza Kuonyesha Afya Yako jinsi ilivyo Tuwe Makini Sana kuchunguza Afya Zetu.

    Hakuna Nusu ya Mwezi kwenye kucha inamaanisha tezi dhaifu Ambayo inaweza kusababisha mabadiliko ya hali ya unyogovu kupata uzito na kukonda kwa nywele. Kucha kukatika kama nyufa kama kwenye misumari inaweza kuonyesha Dalili ya ugonjwa wa ngozi Kucha kuwa na rangi nyeupe huonyesha matatizo...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Faida ya Pilipili Kengele Kiafya

    Ikilinganishwa na pilipili zingine, pilipili za kengele hujulikana kwa kiwango cha juu cha spiciness(viungo).Pilipili za kengele nyekundu huwa ni tamu, kama aina nyingine za manjano na rangi ya machungwa. Kiwango cha joto cha pilipili kengele (pilipili hoho) kinapimwa katika vitengo vya joto...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Faida za kushangaza ambazo pengine hukuzijua za kutumia papai

    Faida za kushangaza ambazo pengine hukuzijua za kutumia papai Papai ni tunda la kushangaza na lenye afya. Ina 'antioxidants' ambayo hupunguza kuvimba na kupambana na magonjwa na kusaidia mtu kuonekana na umri mdogo. Virutubisho katika papai Kalori, Wanga, Nyuzinyuzi, Protini, Vitamini C...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ugonjwa Wa Kudhoofu Kwa Mifupa (Osteoporosis).

    Ugonjwa wa kudhoofu kwa mifupa (Osteoporosis). -Ugonjwa huu hufanya mifupa iwe dhaifu, ipungue ujazo wake na iwe kwenye hatari kubwa ya kuvunjika kirahisi pasipo kuhitaji mgandamizo mkubwa. Dalili muhimu za ugonjwa huu -ni kupatwa na maumivu ya mara kwa mara ya mifupa, hasa sehemu ya mgongo...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Matatizo Ya Afya Ya Akili Mental Retardation

    MATATIZO YA AFYA YA AKILI. -Shirika la Afya Duniani (WHO) linataja kuwa kabla ya janga la COVID19, takriban mtu 1 Kati ya 8 Duniani kote walikumbwa na matatizo ya kiakili, hata hivyo Msaada sahihi wa miundombinu na kiuchumi kwa ajili yao, ulikosekana -Matatizo ya afya ya akili yapo katika...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Fahamu chakula unachopaswa kula ukiwa na zaidi ya miaka 40

    Chakula ni kirutubisho muhimu sana kwa wanadamu na maisha hayangewezekana bila lishe bora. Hata hivyo licha ya umuhimu wa lishe kwa mwili wa mwanadamu, wataalamu mara nyingi huwa wanazingatia faida za lishe bora na kiwango cha chakula ambacho mtu anapaswa kula kwa ajili ya afya yake. Wataalamu...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Hizi Ndio njia Salama za Kulinda Afya Yako

    HIZI NDIZO NJIA SALAMA ZA KUILINDA AFYA YAKO Mazozi ni jambo muhimu sana ili kuulinda mwili kutokana na magonjwa. Mtu mwenye kuthamini mwili afya yake hawezi kupuuza kufanya mazoezi kwa sababu zifuatazo; 1) Mazoezi hupunguza kiwango cha sumu mwilini (2) Mazoezi huzibua mishipa ya damu na...
  9. Kunguru Mjanja

    Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

    Wakati homa ya mchezo wa Watani wa Jadi, Simba na Yanga ikiendelea kupanda huku zikiwa zimebaki saa chache, Mashabiki na Wachezaji wa timu hizo wameendelea kutambiana kuibuka na ushindi Simba ambayo itakuwa mwenyeji, itaikaribisha Yanga katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania...
Back
Top Bottom