Tuhuma nzito za Mange zisizo na ushahidi dhidi ya Rais, anafanya sawa?

Status
Not open for further replies.
Mange nadhani zake zitafika tu wala hataweza kujificha mda wote mwisho wa siku atasema yote haya kwa ujinga huu anaofanya.
 
Kwahiyo hivyo ulivyotaja ndio vipimo vya ukweli?Wangapi wanafake tabasamu!Ninachosema hapa,huwezi jua kama ni kweli au hapana!Usimwamini binadamu yoyote,everyone is capable of anything,u just hav to push them to their limits of tolerence!
Ni kweli mkuu hutakiwi kumwamini binadamu yoyote na ndio mana nimegoma kumwamini huyo Mange. Hapa ndhani utakubaliana na mm kuwa hata Mange wewe pia huwezi kumwamini. Naamini pia hata huyo mtuhumiwa akikubali au kukataa hutamwamini kwa chochote.
 
dah!!hivi bongo kuna ma assassin pia?

hesabu zinakuwa ngumu,kupeleka assassin kwenye ardhi ya Trump,jamaa mwenyewe mtata halafu soo libumbuluke! Trump will trap us
provided kama hela unayo wapo ma International assassin for hire,ni pesa zako tu utawapata iwe mexico ama humohumo US of A
 
Hivi Huyo Mdada Ni Taarifa Gani Amewahi Kuandika Zikawa Kweli ?
Bahati mbaya wakanushaji huwa hawaji na hoja thabiti na vielelezo vya maana Kupinga uongo wa uyu bibie,zaidi zaidi wanalaumu laumu tu...!! Hata hivyo usisahau kuwa huyu ni mmoja wao! Mwenzao alikua kwenye kundi lao
 
kakiripoti CIA/FBI kakapata ulinzi kama everine chahar
Serikali ni chombo kibaya sana
Serikali za nchi mbili zinaweza kukaa na wakakubaliana mambo fulani.....utashangaa hyo mange anaokotwaa kama embe dodo hko Alipo......

OVA
 
Ikulu haina kazi ya kila siku kukanusha utumbo na upuuzi, badala ya kuchapa kazi. atakuja kujibu yote siku moja ikifika.
Kuwa mpole,dk moja mbele wanaweza kanusha!Hawatabiriki kabisa,unakumbuka walivyokanusha taarifa ya mange juu ya makamu wa Rais?
 
Mahaba yatatuua jamani. Kwani Mtu akiwa mfalme anageuka malaika. Mbona wababa kibao mitaani huku wanapiga wake na watoto wao kama mbuzi but wakiwa nje Ni kama malaika huwezi kuwajua.
Mtu kujitoa ufahamu mpk ukaweka uhai wako mbele kama Mange na kuongea kitu kama hiko kuhusu Mfalme jua kweli yuko hatarini!! Swali je are ready to accept the truth if kweli aliyoongea Ni kweli au mahaba tutayaweka mbele kama tunavyoyaweka kwenye Imani ya dini? Au mtatafuta excuse ya kujustify hilo tukio. So Mimi bado sijaamua kumiamini Mtu yyte COz hata huyo malkia hajatokea kumtetea mfalme wake kuwa kweli hakumpiga!!!! Maana Ni sensitive issue hii lazima watu wakanushe tujue wa kumuamini.
 
Hawezi Kushindna na Ikulu au Raisi hta siku moja
Kmbuka RAIS ana Dola, Jeshi, Kodi, Mahakama nk!
Je Yy ana nn? Ukiona hvyo hawajamuamulia tuu coz n mtu mdgo sna mbele ya Hii TEAM ya
Field Marshall "Mwigulu Nchemba"



~Cmb
Kamkamateni basi mbona kelele mingi matendo zero.
Hata mimi nina shida nae kwa kumtukana Edward.
 
Sasa kama ni raia wa Marekani huu ushankupe wake anauleta wa nini huku? Kwanini asiongelee mambo ya Marekani. Kinachokera zaidi anachoongea hakina ukweli na hana uhakika nacho ila anatafuta sifa za kijinga.
.. Kwamba raia wa marekani anaandika udaku wa Tz... Mbona Marekani ni nchi kubwa na ina watu maarafu wengi.. anashindwaje kudeal na watu wa huko?
Hivi kuna sheria inayoruhusu raia wa nchi moja kumdhalilisha raia wa nchi nyingine?
 
Anavyoishi maisha yake binafsi nadhani ni binafsi, iwe kweli isiwe kweli, concern yetu ni jinsi anavyo run nchi, sio familia yake
Kama mke amepigwa, akamtembelea hospitali wakaombana msamaha yakaisha, sio business yetu hiyo

let Magufulis handle it
Hata vitabu vinasema ukishindwa kuiongoza familia yako there is no way utaweza kuongoza wengine.....
 
Kuwa mpole,dk moja mbele wanaweza kanusha!Hawatabiriki kabisa,unakumbuka walivyokanusha taarifa ya mange juu ya makamu wa Rais?

Hata kama ni mimi staweza kukanusha ILA ni kumkamata huyu Mange ili asaidie kutoa ushaidi.
 
Anavyoishi maisha yake binafsi nadhani ni binafsi, iwe kweli isiwe kweli, concern yetu ni jinsi anavyo run nchi, sio familia yake
Kama mke amepigwa, akamtembelea hospitali wakaombana msamaha yakaisha, sio business yetu hiyo

let Magufulis handle it
Unakosea. Kama ni kweli hayo yanayosemwa na Mange yanatuhusu sana. Unajua kuna tuhuma za kifo hapo?
 
Hata akili ya kawaida tu hauwezi kuamini, kwanza Mama Janet hakua na jeraha lolote wakati akiwa hospital wala kuonekana amevimba sehemu, na hata alipotoka hospital alikua katika tabasamu lake kama alivyo siku zote na ameendelea na majukumu yake kama kawaida. Kuhusu mtoto huo ndo ujinga uliokubuhu hata siwezi kuuongelea.
kwa hiyo mkuu ulitaka mama aonesha majeraha pale hosp muhimbili??
seriously kabsa??? isingetokea hata kama angekuwa amechomwa na mkuki aisee!
 
Jitahidi sana, kila unalolisikia ulifanyie uchunguzi, usifikiri yeye anaota hizo habari anazokupeni. Usipende kupuuzia vitu kwa sababu vimesemwa na fulani, tafuta ukweli.

Kulikuwa na ukweli kwenye hilo, tafuta ukweli halafu utarudi hapa
watu wa media ndio hawajui kazi yao hasa kutafuta habari za kiuchunguzi. Ni rahisi kupata ukweli wa hili hasa ukizingatia kuna upande unao dhurumiwa kama ni kweli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom