Tatizo sio Pinda , Tatizo ni Kikwete ambaye yupo tayari kuahirisha Safari kwa ajiri ya Kanumba lakini hawezi kufanya hivyo kwa WananchiKuna kila dalili hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ikazimwa. Silaha pekee itakayobaki ni kwa wabunge wetu kutahamasisha zipatikane saini zaidi ya milioni moja kutoka kwa wananchi ili kumshinikiza Rais kuvunja baraza la mawaziri na ikiwezekana kuvunja bunge!
Nashauri po pote walipo wana JF kuanzisha harakati hizi ili ukombozi upatikane haraka!
Freedom is coming now!