Rasna kanyambua vizuri kwanini umalaya (biashara ya kujiuza mwili/ngono) ihalalishwe Kenya- kwa mtizamo mpana wa jinsia na uhalisia uliobeba historia, uhalali wa biashara hiyo nchi zingine, na mahitaji ya ngono katika jamii.
Kenya, sio nchi mbali sana na Tanzania - ingawa serikali ilishawahi kupiga marufuku kiuwazi- na Mzee makamba alisimamia hili miaka kadhaa iliyopita. Sasa, kwa kuwa ajira hii imekuwepo muda mrefu na inaendelea kukua kwa kasi- tunaweza kujadili uhalisia wake katika nchi yetu na tamaduni zetu?
Source
Proposal to legalise prostitution in Kenya based on reality
prostitution - often referred to as the oldest profession in the world - will not go away simply by criminalising it.
Kenya, sio nchi mbali sana na Tanzania - ingawa serikali ilishawahi kupiga marufuku kiuwazi- na Mzee makamba alisimamia hili miaka kadhaa iliyopita. Sasa, kwa kuwa ajira hii imekuwepo muda mrefu na inaendelea kukua kwa kasi- tunaweza kujadili uhalisia wake katika nchi yetu na tamaduni zetu?
Source
Proposal to legalise prostitution in Kenya based on reality
prostitution - often referred to as the oldest profession in the world - will not go away simply by criminalising it.