kicheche999
Member
- Apr 23, 2012
- 47
- 16
Nakuelewa sana kuhusiana na suala la vyama mimi mwenyewe baadhi ya viongozi Chadema siwaamini lakini hakuna alternative na kama kuna watu wenye zana na uwezo wa kukusanya watu na watu si wanachama tunazungumzia wananchi kwa ujumla ni viongozi wa vyama wenye nia ya kuleta mabadiliko. Cha muhimu ni message na message ni kwamba tunataka mabadiliko na serikali lazima iwajibishwe tumechoka mazungumzo tunataka action na matokeo