nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
SATURDAY, SEPTEMBER 29, 2012
SHILATU AUKWAA UENYEKITI CCM NYAMAGANA, MASHA AUKWAA UJUMBE NEC TAIFA
Wajumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa waliochaguliwa kutoka kulia ni Joseph kahungwa, Saimon Ntabi na Flora Magabe. |
Mwenyekiti mpya wa CCM Nyamagana Raphael Shilatu akiwa amebebwa juu kwa juu mara baada ya kutangazwa mshindi kwenye kinyang'anyiro cha ugombea nafasi hiyo. |
Mwenyekiti mpya wa CCM Nyamagana Raphael Shilatu akitoa shukurani zake kwa wanachama wenzake sambamba na salaam. |
Mwenyekiti mpya wa CCM Nyamagana Raphael Shilatu akiteta na Bw. Mabina ambaye naye anatetea nafasi yake ya uenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza. |