Tufanyeje ili tuwatoe hawa CCM

Tatizo ni kwamba wananchi wengi hawajui nini maana ya kupiga kura !..ndio maana ni rahisi kudanganywa na khanga, pombe ya kienyeji nk.
 
itatufaa wengine kuifia nchi kwa faida ya vizazi vyetu...lakini wa kumfunga paka kengele?
sisi sote tunaongelea vichochoroni tu, siku tuamue hakuna cha nini wala nani, ni kuandamana tena maandamano ya uvunjifu wa amani dhidi ya hao wezi wa mali za umma, lakini tukijadiliana hapa JF hakuna njia nyingine zaidi ya kulazimisha haki, ni lazima mbegu moja ife na kuoza ili kutoa nyingine bora, ni nani aliye tayari kujitoa kwa ajili ya wengine? ni nani anayechukia ufisadi harafu akawa mwoga wa kukemea? ni nani aichukiaye harufu ya kinyesi harafu akakichukua na kukiweka mfukoni? WATANZANIA TUACHE UNAFKI. kama tumeridhika na ujangiri tunaofanyiwa na serikali ya CCM na tunyamaze kimya
 
Mama Mia alikuwa anawaza hivi....

Pamoja na makosa yanayotokea serikalini
kwakuangalia usemi wa hawa wenzetu wapinzani leo hii mrema
akiongea kama msemaji wa CCM,sharrif ahmad akilazimisha
karume kupewa miaka 2 siku za mwisho bila kujali mauawaji
ya watu 27 yaliyofanywa...nimeona ni bora niendelee kumpa huyu
kikwete aata kama ameiba ni bora tumpe yule ambae ameshakula kuliko hawa mafisadi wa siasa wanaoendaa kuanza kuiba,..unajua ukishaiba na ukapata tena uwezi iba kama mwanzoni na ni bora umpe yule alieanza kula kuliko hawa wenye njaa zao na kuamua kuwa wasemaji wa chama tawala kwa njaa zao
embu wewe unaesoma jiunge nami kumpa DK,USTAADHI JAKAYA MRISHO KIKWETE......

Lakini upele amesema....


naona watanzania tunazidi kumaliziwa nyetu mara madini au rasilimali zote ziishe nimepata nyeti kuwa hao wote wana mijihela kibao nje

Kweli tumetofautiana kimtazamo.,hapa nimeamini kuwa mnaweza mkaangalia kiyu kimoja lakini kila mtu akaona picha yake tofauti.


 
Back
Top Bottom