Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Habari JF!
Hili hua linaniumiza mawazo yangu....labda kupitia humu naweza faulu kukusanya majibu muafaka.
Wewe me/ke kabla ya kuanzisha au kujua hili tendo raha zake....ni nani aliekufundisha?
Ikawaje hadi sasa?
Tuelimishane!
Hili hua linaniumiza mawazo yangu....labda kupitia humu naweza faulu kukusanya majibu muafaka.
Wewe me/ke kabla ya kuanzisha au kujua hili tendo raha zake....ni nani aliekufundisha?
Ikawaje hadi sasa?
Tuelimishane!