Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Baada ya mgomo kuyeyuka katika dk za mwisho, baada ya uhamasishaji na mabango kuandaliwa nini neno la kuondokea!
Zaidi ya taarifa za kusitishwa kwa mda mgomo wa wafanya kazi, TUCTA wamekuwa kimya, wanachama wanashauku ya kujua tusubiri kwa mda gani? Mazungumzo yanaendelea? Mpaka sasa nini mwelekeo?
Bila shaka litakuwa jambo jema kama wananchi watafahamishwa ?
Zaidi ya taarifa za kusitishwa kwa mda mgomo wa wafanya kazi, TUCTA wamekuwa kimya, wanachama wanashauku ya kujua tusubiri kwa mda gani? Mazungumzo yanaendelea? Mpaka sasa nini mwelekeo?
Bila shaka litakuwa jambo jema kama wananchi watafahamishwa ?