Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
- Thread starter
- #21
Hoja hii inafaa kuipeleka katika Halmashauri ya Manispaa ya Arusha. Madiwani wana uwezo kisheria kubadili majina ya Miji na vitongoji vyao iwapo wataona kuna umuhimu wa kufanya hivyo.
Pamoja na yote sioni mantiki yoyote ya kuita mji wa Arusha.. Kilimanjaro...!
Kibunango,
Hiyo itakuwa hatua ya pili, baada ya wananchi kuikubali hoja kwanza kama ina manufaa, then ndio logistic za Kubadilisha.