😁😁😁😁Haya mambo haya!
Mimi naambiwa simsikilizi. Halafu mara zote anajiona yeye yupo sahihi wewe ndiyo unakosea.
Unatafuta muda mzuri wa kumrekebisha ila nimbishi. Yaani unabaki kuwa kimya! Mimi huwa nabaki kimya au natoka niwe nje nifanye mambo yangu mengine.
Na kimya kikiwa kirefu anaanza kupiga simu. Mara upo wapi? Unafanyaje?
Nilimwacha mjinga mmoja kwasababu ya hizo tabia za hivyo plus kuwa mali ya umma aisee yeye kukubali Matokeo ilichukua mwaka mzima