TTCL yaomba Sh 1.7 trilioni kuboresha huduma zake

Huyu Omary Nundu bado yupoga tu, ma CCM bwana hawawezi maisha tofauti na kujipachika kwenye taasisi za serikali na kuiba iba.

TZS 1.7 Trillion kwa ajiri ya kuboresha huduma za simu za mezani. Nani anatumia simu za mezani siku hizi? Yaani tutumie 1.7 Trillion kwenye obsolete life style? ndio ma strategists wa TTCL hawa?

Mi nilidhani wanaomba hela kwa ajiri ya 5G Technology?
TTCL wakiwa makini n kuacha siasa.na kujikita kisawa sawa kama Telecom Service privider akaofa Huduma jinsi alivyo na(capacity+infrastractures) baada ya miaka 2. kampuni 2 au 3 kati ya zinazotoa huduma za mawasiliano hapa nchini zitakufa milele..hiyo Trillioni 1.7 ni pesa ambayo TTCL kama itakuja fanya kazi kama inavyotakiwa zinarudi in two years.
 
Tilion1.77 kwa ajili ya ukarabati wa mtandao?

Hii pesa ni kubwa sana sidhani hata tukienda kuomba msaada marekani watatupatia
 
Tunahitaji buniness oriented mind na sio 'makada' kwenye hizi ofisi kuweza kushindana na TiGO, Voda ama Airtel, bahati mbaya kwenye karne hii ya kasi ya mawasiliano bado taasisi ambayo ingeweza kuwa monopoly kwenye hii sekta inasubiri huruma ya serikali.

Nahisi tunatatizo pahala na sio kwa sababu ya kuwa au kutokuwa na CPA.

Huko Tigo/ Vodacom ambazo ndio leading telecom companies CPA za kumulika na tochi lakini wameajili business minded , vijana wanafanya kazi and very creative ndio maana kampuni zao zinaweza kujiendesha kwa sababu wana vichwa
 
Wanaweka wazee ambao hawajui km kuna utandawazi
TTCL wakiwa makini n kuacha siasa.na kujikita kisawa sawa kama Telecom Service privider akaofa Huduma jinsi alivyo na(capacity+infrastractures) baada ya miaka 2. kampuni 2 au 3 kati ya zinazotoa huduma za mawasiliano hapa nchini zitakufa milele..hiyo Trillioni 1.7 ni pesa ambayo TTCL kama itakuja fanya kazi kama inavyotakiwa zinarudi in two years.
 
Huyu Omary Nundu bado yupoga tu, ma CCM bwana hawawezi maisha tofauti na kujipachika kwenye taasisi za serikali na kuiba iba.

TZS 1.7 Trillion kwa ajiri ya kuboresha huduma za simu za mezani. Nani anatumia simu za mezani siku hizi? Yaani tutumie 1.7 Trillion kwenye obsolete life style? ndio ma strategists wa TTCL hawa?

Mi nilidhani wanaomba hela kwa ajiri ya 5G Technology?
Sidhani kama tunawaza sawasawa! wangeomba kwa ajili ya 5G wangeeleweka, kama wanahitaji kuongezewa mtaji siwauze hisa DSE tatizo liko wapi? au haka kazee kanataka kupiga za mwishomwisho baada ya kuchengana na hela za bagamoyo port
 
Wametoa gawio halafu wanaomba pesa!!? Kwa nini wasitumie hilo gawio kujiendesha mpaka watakapopata faida kisha watowe gawio??? Au taratibu za Kutoa gawio zikoje jamani?
Hilo gawio linatolewa kisheria sio hisani yao...sasa hapo ni busara ya serikali kutochukua hilo gawio na kuwaambia wa invest more
 
TTCL yaomba Sh1.7 trilioni kuboresha huduma zake


pic+ttcl.jpg


Dar es Salaam. Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Omary Nundu amesema shirika hilo linahitaji Sh1.77trilioni kuboresha huduma zake za simu za mkononi na mezani.

Nundu ametoa kauli hiyo leo Jumanne Mei 21, 2019 katika hafla ya shirika hilo kutoa gawio la shilingi 2.1bilioni kwa Serikali iliyokwenda sambamba na uzinduzi wa awamu ya pili ya huduma ya video conference.

Source: Mwananchi

Ukitaka vichekesho zaidi bonyeza *nyumbanikumenoga# then piga.

Tunasubiri gawio la ATCL ili tucheke zaidi.
,,,,halafu imetoa gawio la mabilioni ya shilingi serikalini....nchi hii haiishiwi vituko vinavyosisimua na kuchukiza papo hapo.
 
Hilo gawio linatolewa kisheria sio hisani yao...sasa hapo ni busara ya serikali kutochukua hilo gawio na kuwaambia wa invest more
Gawio ni haki ya serikali, kama wanataka kuongeza mtaji wauze hisa katika soko la DSE na sio kuchukua hela zetu za matibabu kusomesha watoto na posho za walimu na manesi.
 
Upumbavu ni pamoja na kutokutumia rasilimali zinazokuzunguka kikamilifu, hasa rasilimali fedha, muda na watu.
Huduma za TTCL ni mbovu sana, SMS characters mwisho ni 150/ SMS ukizidisha msg haiendi.
Mitambo yao most of the time IPO offline.
Sitashangaa kusikia hata hilo gawiwo wamekopa sehemu kwa tiba ili tu kumfurahisha Rais

Haya yanayotendeka TTCL ni akili za kiwango cha lami...!! Yaani unatoa gawio 2B halafu unaomba 1.7T za nini? TTCL wanasema wanapata faida ya MABILIONI sasa wanataka hela kwa Magufuli ili iweje?
Principles za Devidend ni LAZIMA UWE UMETENGENEZA FAIDA....Lakini tunachosikia CEO wao kawakaba Wafanyakazi mpaka penati.....!! Mishahara tangu gawio la kwanza ina marktime........huduma za ndani zimedorora Shirika linadaiwa kila kona mpaka Wakandarasi na Wazabuni wamesusa kutoa baadhi ya huduma! Halafu mtu anauza sura mbele ya Rais na runinga kutaka sifa za kisiasa....!
Wanasiasa ndo wanaoua Mashirika na Taasisi za nji hii...!!
 
Back
Top Bottom