Wadau nimekuwa nikikumbana na adha mara nyingi katika mabenki,TRA na hata maofisini unaambiwa mtandao hakuna mara mtandao uko chini.Hii inasababisha usumbufu na upotevu mkubwa wa muda.Nimejiuliza hili kutokana na uhakika mkubwa tuliopewa wakati mkongo wa taifa ulipozinduliwa kuwa accessbility ya internet itaimarika lakini sasa imekuwa kinyume chake.What has gone wrong?mwenye info plse.!