Habari Yenu,
Mimi nimekuwa configured internet connection ya DSL ya TTCL 1MBps Unlimited lakini chakushangaza speed iko low sana ni chini kabisa yani si stahiki kulipia 110,000 halafu speed iko namna hii,speed ni 300Kbps wakati mimi nimelipia unlimited 1Mbps speed!!tafadhali nisaidieni
Naombeni Email ya TTCL au Namba ya simu ya TTCL wa anaehusika na Mambo ya Internet !!! Tafadhali mmsinipe namba ya TTCL yoyote tu mimi ninataka namba ya anaehusika na Internet TTCL!!!
Mimi nimekuwa configured internet connection ya DSL ya TTCL 1MBps Unlimited lakini chakushangaza speed iko low sana ni chini kabisa yani si stahiki kulipia 110,000 halafu speed iko namna hii,speed ni 300Kbps wakati mimi nimelipia unlimited 1Mbps speed!!tafadhali nisaidieni
Naombeni Email ya TTCL au Namba ya simu ya TTCL wa anaehusika na Mambo ya Internet !!! Tafadhali mmsinipe namba ya TTCL yoyote tu mimi ninataka namba ya anaehusika na Internet TTCL!!!