GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jaji kiongozi Ndg. Fakhih Jundu jumla ya Tshs 2bn zitatumika kwa ajili ya kusikiliza kesi 43 za kupinga matokeo ya ubunge katika uchaguzi mkuu.
Hizi ni pesa nyingi sana kwa sasa na ukizingatia hali yetu ya umaskini tulio nao. Mie nadhani itafutwe njia mbadala ya kushughulikia kesi za namna hii kwani zitalifilisi Taifa. Madarasa mangapi yangejengwa kwa hela hii ? mahospitali mangapi mangapi? madawa kiasi gani yangenunuliwa ? nk
Hizi ni pesa nyingi sana kwa sasa na ukizingatia hali yetu ya umaskini tulio nao. Mie nadhani itafutwe njia mbadala ya kushughulikia kesi za namna hii kwani zitalifilisi Taifa. Madarasa mangapi yangejengwa kwa hela hii ? mahospitali mangapi mangapi? madawa kiasi gani yangenunuliwa ? nk