Hizo zinaenda mtwara na Kurudi Dar es Salaam wizarani ujenzi nyingine zitakuwa zilisaidia ubunge wa Hawa Ghasia na Uraisi wa KIkwete hawa ni michwaa wanapekenya mpaka ndani ya mninga tukiwaacha bila kuwapiga risasi vizazi vijavyo hawatapata kitu CCM na serikali yake ovyo kabisa