KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Ni ugonjwa mbaya na hatari unaoambukiza binaadamu na mifugo.hushambulia sana akina mama kwa urahisi zaidi kulikoni wanaume,ingawa wote wanaweza kuambukizana.dalili kwa upande wa akina dada huchukua muda mrefu kuweza kuutambua.kwa wanaume hauchukui muda mrefu .dalili za mwanzo ni pamoja na kutokwa na maji meupe mazito zaidi ya mkojo katika sehemu za siri.kwa mwanaume huwashsa na ndio mwanzo wa kuhisi tofauti. Kupima mkojo ndio njia sahihi kujua ugonjwa wenyewe.