Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Yule binti aliye mchoma kisu gen.mmewe wake wa zamani ambae wamezaa nae watoto wawili walio kuwa wakisomeshwa na gen. Tewete nae yupo jela baada ya kumchoma mwanaume mwingine kisu baada ya kumfumania akila bata na Aisha.
Ni mwaka wa tatu sasa mme wa Aisha yupo jela na sasa Aisha nae anamfuata mmewe huko huko jela baada ya kumuua gen. Tewete fundi wa madege ya jeshi.
Watoto watateseka sana baba jela mama nae jela kwa kuchoma visu.
Source: Masao bwile.
Ni mwaka wa tatu sasa mme wa Aisha yupo jela na sasa Aisha nae anamfuata mmewe huko huko jela baada ya kumuua gen. Tewete fundi wa madege ya jeshi.
Watoto watateseka sana baba jela mama nae jela kwa kuchoma visu.
Source: Masao bwile.