Trouble brewing in Nigeria?

Tafuteni msaada kutoka western muanzishe vita..aagh
Hatuhitaji msaada kutoka kwa mtu yeyote. Idi Amin tulimwondoa bila msaada wa nchi yeyote. Masalia ya Kikwete yatazikwa
bila msaada wa nchi yeyote. Kikwete has been the worst thing to happen to Tanzania. It is a shame.
 
Hatuhitaji msaada kutoka kwa mtu yeyote. Idi Amin tulimwondoa bila msaada wa nchi yeyote. Masalia ya Kikwete yatazikwa
bila msaada wa nchi yeyote. Kikwete has been the worst thing to happen to Tanzania. It is a shame.

Ha ha ha utakufa kwa chuki mkuu, hakuna rais worse kama nyerere Tanzania ukitaka itasha kura za maoni kati ya marais wote

Anza na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete utaona yupi atakuwa amefanikiwa kuleta maendeleo nchini (documented) siyo blah blah zenu za kusifiana kwenye vikao vya jumuiya??

Besides, amepeleka majeshi yetu uganda ili kumrudisha mkatoliki mwenzake uganda, na kuua watanzania kibao..unafikiri itakuwa rahisi tena kutokea sahau

nyerereism mtakufa kwa kihoro, dawa ni kuangalia mbele achananeni na mawazo ya kale..tumeyafikia pamoja na mwili wake butiama, tumewaachia kanisa katoliki alilofaisha wampe utakaktifu period..
 
Ha ha ha utakufa kwa chuki mkuu, hakuna rais worse kama nyerere Tanzania ukitaka itasha kura za maoni kati ya marais wote

Anza na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete utaona yupi atakuwa amefanikiwa kuleta maendeleo nchini (documented) siyo blah blah zenu za kusifiana kwenye vikao vya jumuiya??

Besides, amepeleka majeshi yetu uganda ili kumrudisha mkatoliki mwenzake uganda, na kuua watanzania kibao..unafikiri itakuwa rahisi tena kutokea sahau

nyerereism mtakufa kwa kihoro, dawa ni kuangalia mbele achananeni na mawazo ya kale..tumeyafikia pamoja na mwili wake butiama, tumewaachia kanisa katoliki alilofaisha wampe utakaktifu period..
For your information Obote hakuwa Catholic. Alikuwa Anglican. Lakini kwa mdini kama wewe the difference is the same.
Kalagabaho!
 
Sawa mkuu tuanze wapi kuwalaumu wanigeria sasa?

Tuanze na Rais aliyepo Jonathan; ambaye alikuwa western darling, alipata media coverage as if ataitoa nigeria ...

Wananchi wako barabarani wanataka mafao; IMF na WB wanataka mikopo yao waliyotoa zamani plus interest??

tufanyeje?
Unauliza tufanyeje! mwenzio akinyolewa za kwako tia maji. tuungane ktk kupiga vita viongozi mafisadi kwa kuhakikisha tunajenga uwezo wa kuwawajibisha mara tu wanapoonyesha udhaifu. Tukiendelea na picha iliyopo sasa ya baadhi ya watz kufumba macho na kuamua kuwatetea viongozi wabovu kisa tu wanashabihiana ktk baadhi ya mitazamo, basi na sie tutafika waliko wanaigeria.
 
Ha ha ha utakufa kwa chuki mkuu, hakuna rais worse kama nyerere Tanzania ukitaka itasha kura za maoni kati ya marais wote

Anza na Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete utaona yupi atakuwa amefanikiwa kuleta maendeleo nchini (documented) siyo blah blah zenu za kusifiana kwenye vikao vya jumuiya??

Besides, amepeleka majeshi yetu uganda ili kumrudisha mkatoliki mwenzake uganda, na kuua watanzania kibao..unafikiri itakuwa rahisi tena kutokea sahau

nyerereism mtakufa kwa kihoro, dawa ni kuangalia mbele achananeni na mawazo ya kale..tumeyafikia pamoja na mwili wake butiama, tumewaachia kanisa katoliki alilofaisha wampe utakaktifu period..
Kwahiyo alipoamua kuvunja uhusiano na Israel kwa ajili ya wapalestina, ina maana alikuwa anawatetea wakatoliki? Kumbe wewe tatizo lako ni wakatoliki! basi imeshakuwa shida maana huwezi kuuona ukweli kutokana na chuki dhidi ya wakatoliki. Tulio wengi tunapochangia kukosoa uongozi dhaifu wa kikwete hatusemi kwasababu sio mkatoliki bali ni kwasababu tunaona hawajibishi mafisadi, tunaona mfumuko wa bei umepanda sana kwa sasa na kwa hiyo gharama za maisha kwa watu zimepanda sana. Wakati anaondoka mkapa wote tulikuwa tunamchukia kwa ufisadi na kuuza mali ya umma ovyo lakini tulikuwa wazi kusema kuwa walau alishusha mfumuko wa bei kutoka 26% mwaka 1995 mpaka 4% mwaka 2005. Kwahiyo Topical hutakiwi kuwachukia sana wakatoliki kiasi cha kushindwa kuona ukweli hasa ukizingatia kuwa wengi wao si ajabu wanaishi na wewe kwa upendo bila kujua wewe una chuki kubwa dhidi yao, chuki ambayo umepandikizwa bila hata kuwa vielelezo vya ushahidi. Ni sawa na mtu kuitwisha marekani mzigo wa kusambaratika kwa Nigeria wakati wanaoshambuliana wenyewe wanaichukia marekani.
 
Mimi naamini hawa jamaa wana fitna sana , lakini ni pale wenyeji wanapokuwa hawana msimamo, kwani inajulikana kuwa wameshafanya mengi ikiwamo kuisambaratisha urusi iliyokuwepo, ila naamini wanapata nafasi baada ya kuona kuna mwanya kati ya wananchi wenyewe, kwani hata huko uarabuni kuna nchi zinafanya unyama kwa wananchi wao lakini bado hawajafanyiwa alivyofanyiwa Gadaffi, lakini mfano wa nchi kama India au China , Malaysia kwa uchache mbona zinaonekana zimeweza kuendelea, je kunani hapo??, lakini kama hao jamaa shida yao kubwa ni mafuta basi na sisi watanzania tunaosema tuna mafuta tusubiri fitna itupige chini manake siamini kama viongozi wetu wanao msimamo wa kuwatunishia misuli hao wa magharibi, kwani madini yanavyochukuliwa kimya kimya kwa mikataba ambayo hata chizi hawezi kuingia, labda ndiyo maana ya kusema bado nchi yetu ni salama. Au ndiyo motomoto ya Zanzibar kutoka povu kuhusu mafuta inaweza kuwa fitna imeshaanza ya kutusambaratisha. Mungu tusaidie.
 
There was an active coordinated bomb attack in Nigeria yesterday in Kano, capital of Kano State, claimed by an Islamic Sect; Boko Haram. Similar incidence in Bayelsa State, home State of Nigerian president.
 
Mimi naamini hawa jamaa wana fitna sana , lakini ni pale wenyeji wanapokuwa hawana msimamo, kwani inajulikana kuwa wameshafanya mengi ikiwamo kuisambaratisha urusi iliyokuwepo, ila naamini wanapata nafasi baada ya kuona kuna mwanya kati ya wananchi wenyewe, kwani hata huko uarabuni kuna nchi zinafanya unyama kwa wananchi wao lakini bado hawajafanyiwa alivyofanyiwa Gadaffi, lakini mfano wa nchi kama India au China , Malaysia kwa uchache mbona zinaonekana zimeweza kuendelea, je kunani hapo??, lakini kama hao jamaa shida yao kubwa ni mafuta basi na sisi watanzania tunaosema tuna mafuta tusubiri fitna itupige chini manake siamini kama viongozi wetu wanao msimamo wa kuwatunishia misuli hao wa magharibi, kwani madini yanavyochukuliwa kimya kimya kwa mikataba ambayo hata chizi hawezi kuingia, labda ndiyo maana ya kusema bado nchi yetu ni salama. Au ndiyo motomoto ya Zanzibar kutoka povu kuhusu mafuta inaweza kuwa fitna imeshaanza ya kutusambaratisha. Mungu tusaidie.
Adui mkubwa wa maendeleo ya nchi yoyote ile ni utawala mbovu. Pamoja na mkono wa US ktk kuanguka kwa Urusi lkn bado tatizo la msingi lilikuwa ndani ya urusi. USA hawezi kuingia mahali penye utawala unaowajibika kisawasawa.
 
Hawajatoa ripoti ya Tanzania itasambaratishwa lini na udini? Tunatamani kuona Islamic Republic of Southern Tanganyika na Christian Republic of North Tanganyika! Washabiki wa udini mpooo???
Tanzania ndiko tunakoelekea. Nchi inapasuka kidini wahusika wenye mamlaka wamekaa tu kama wanaangalia mdundiko.
 
bokobomb.jpg Smoke rises from the police headquarters as people run for safety in Nigeria's northern city of Kano January 20, 2012
bokodeath.jpg Rescue workers carry the bodies of victims killed by multiple explosions and armed assailants in the Marhaba area of the northern Nigerian city of Kano into the morgue at the Murtala Mohammed Specialist Hospital
bokobombpolice.jpg A man walks through the ruins of a zonal police headquarters after a bomb attack in Nigeria's northern city of Kano, January 21, 2012.
bokoredcrossbomb.jpg Red Cross officials carry the victim of a bomb attack on a stretcher during an evacuation in Nigeria's northern city of Kano January 21, 2012

Picha zote hisani ya Reuters
 
Huu mkondo unaochukua sio nzuri my friend.

Hawajatoa ripoti ya Tanzania itasambaratishwa lini na udini? Tunatamani kuona Islamic Republic of Southern Tanganyika na Christian Republic of North Tanganyika! Washabiki wa udini mpooo???
 
Wamarekani wao hawapendi kabisa mambo yao yazungumzwe,wikileaks wakimwaga mambo,wanalia,ila kuwazungumzia wenzao ndo mpango mzima!
 
Nigeria inazidi kuikaribia Somalia kwa machafuko
Gunmen kill 9 in northern Nigeria town: local chief

January 22, 2012

LAGOS: Gunmen overnight raided a northern Nigerian town with a history of sectarian violence and killed at least nine people, a traditional leader said Sunday.

"We are going round the town checking. So far we have nine people dead and 12 wounded," Bukata Zhyadi, a traditional ruler of the mainly Christian Sayawa ethnic group, told AFP.

He blamed the attack in Tafawa Balewa in Bauchi state on the Muslim Hausa-Fulani ethnic group. He said the attackers hurled home-made hand grenades into houses while people were sleeping and shot at those trying to escape.

"Some were shot while trying to escape and some died as a result of the explosives," he told AFP by phone.

Police said they did not yet have details of the attack.

Tafawa Balewa is located along the so-called middle belt between Nigeria's mainly Muslim north and predominately Christian south. Clashes set off by a billiards dispute in the same district of Tafawa Balewa left at least 35 dead last year, with mosques and houses burnt.

The Daily Star
 
Back
Top Bottom