doctorz
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 916
- 228
Tatizo sio uislam. Mji wa Tafawa Balewa ni eneo la waislaam mbona pia mabom yameripuka. Kumbuka ni muda mrefu CIA wanafanaya hujuma za kuanzisha vita katika nci za Africa Magharibi lakin hawajafanikiwa ajili ya suluhu zinazo fanywa na AU. CIA wanachotaka ni kurudisha nyuma azma ya Africa kuungana na njia pekee ni kufitini ili vita itokee. Nigeria in historia ndefu sana ya fitna hizo.