Tribute to Women's Hair - Why we Love 'em! (Both)

Hii inahusu King'asti, manake mtu mwingine akaa na rasta miezi minne hata maji hazitii.
Mmmh ukikaa naye kwenye siti moja kwa daladala unatamani kushuka.

Akikaa mbele yako kwenye foleni bank unatamani kurudi nyuma......duh :juggle:
mmmmmmmmh! LD umeonaaaaaaaeeeeeh!
 
Mimi huwa wananishangaza sana....wanawezaje kukaa muda mrefu hivyo bila kutia maji kichwani(kuosha)!? Mimi nisipoloanisha kichwani sijisikii kama nimeoga na kama ni uchovu hata hauishi!
 
Kati ya hivi ni kipi kinampendekeza mwanamke na kuvutia kwanza:

a. Macho
b. Miguu
c. Nywele
d. Kifua (you know what)
e. Nyuma (that!)
f. Umbile

Kwangu.. I'll go with the eyes and hair!
 
ile kitu ilikuwa na harufu mbaya ,watoto wadogo walikuwa wakiinusa ile smell wanalia.

Harufu haikuwa ya kalikiti bali ni uchafu wa mwenye kalikiti...........
zile nywele zilihitaji mafuta mengi sana na unyevunyevu .
Mara nyingi wanawake walivaa plastic/shower caps kutunza unyevu kwenye nywele ili to maintain the "wet-look".
Ukichanganya unyevu,mafuta, jasho, joto na vumbi..unaweza kuona nini kilitokea.
Pia watu walidhani huwezi kuosha mwenyewe nyumbani ati hadi ukaoshee salon.Basi tabu tupu.

 
Kwa kweli.. nywele za mwanamke zikitunzwa vizuri zinamtofautisha mwanamke na mwanamke..
 
Wee mwanakijiji kwanini umesema wanawake wanatengeneza nywele ili kuvutia wanume? Mtu anatengeneza nywele ili awe nadhifu na kufanya kitu ile roho inapenda na wale sio kuwatega au kuwavutia wanaume. Na hayo macho na nywele vinakufurahishia nini? Angalia tabia ya mtu na wala sio viungo vyake.
 
Most of those shown in the above pictures are not natural hairs, either artificially or chemically elongated. The real hairs are too sexy and tempting to be left uncovered. See the Christian Nuns, modest Christian and Muslim ladies who follow their teachings, you'll never see their heads uncovered.
 
Most of those shown in the above pictures are not natural hairs, either artificially or chemically elongated. The real hairs are too sexy and tempting to be left uncovered. See the Christian Nuns, modest Christian and Muslim ladies who follow their teachings, you'll never see their heads uncovered.

you are absolutely right..big up
 
kwa waliobahatika kuwa na naturals za kishombe waache wawe natural. mimi wala hawajani convince wapendeze peke yao tu, artificial na dawa ndo mpango mzima. Tukitoka hakuna anayejua nani fake nani real. Thanks mdhungu alogundua vitu artificial.
 
kwa waliobahatika kuwa na naturals za kishombe waache wawe natural. mimi wala hawajani convince wapendeze peke yao tu, artificial na dawa ndo mpango mzima. Tukitoka hakuna anayejua nani fake nani real. Thanks mdhungu alogundua vitu artificial.

Fake zinajulikana na natural zinajulikana 99%, hilo halina ubishi na sidhani kama Mwenyeezi mungu hufanya kosa katika uumbaji, ziwe za kishombe zisiwe za kishombe ukiwa msafi na unazitunza na huweki kichwa wazi, zitaleta tu mvuto wake wa asili kwa alie wa halali kuzifaidi.
 
Fake zinajulikana na natural zinajulikana 99%, hilo halina ubishi na sidhani kama Mwenyeezi mungu hufanya kosa katika uumbaji, ziwe za kishombe zisiwe za kishombe ukiwa msafi na unazitunza na huweki kichwa wazi, zitaleta tu mvuto wake wa asili kwa alie wa halali kuzifaidi.


hii hoja ya "natural" inavutia tu kwenye nywele mbona watu hawazungumzii kupaka Hina, au kujipaka vipodozi? Kutoboa masikio na pua ni "natural"? Kama mtu hataki kutumia madawa kubadilisha nywele kwa sababu ni unnatural lakini anatumia dawa kubadilisha ngozi, meno, nyusi, n.k ni kweli anazingatia kuwa natural?
 
Fake zinajulikana na natural zinajulikana 99%, hilo halina ubishi na sidhani kama Mwenyeezi mungu hufanya kosa katika uumbaji, ziwe za kishombe zisiwe za kishombe ukiwa msafi na unazitunza na huweki kichwa wazi, zitaleta tu mvuto wake wa asili kwa alie wa halali kuzifaidi.

Bravo FaizaFoxy... Kwa aliye wa halali kuzifaidi. Nimeipenda sana hii. Tena zikiwa ndefu kidogo mimi hapo nazichezeaga kitaalamu hadi mtoto hataki niziachiage, teh teh, mambo mengine ni mautalaam tuuu!
 
Back
Top Bottom