fungafunga
Senior Member
- Mar 30, 2010
- 116
- 155
ndugu zangu wana JF naombeni mchango wenu wa mawazo kwa hiki ninachofikiria.
last week nimepata approval ya 40 million loan kwa interest rate ya 16% ambayo ntatakiwa kuwa nimemaliza mkopo kwa 4yrs. nilifikiria kuwa nininue truck scania 113 15tones nifanye safari za ndani au ninunue coaster niitege pale biafra nisubirie safari yeyote pale. najua kuna changamoto zake but i always dont fear to take risk.
please naombeni michango yenu..
last week nimepata approval ya 40 million loan kwa interest rate ya 16% ambayo ntatakiwa kuwa nimemaliza mkopo kwa 4yrs. nilifikiria kuwa nininue truck scania 113 15tones nifanye safari za ndani au ninunue coaster niitege pale biafra nisubirie safari yeyote pale. najua kuna changamoto zake but i always dont fear to take risk.
please naombeni michango yenu..