kwahyo na ww upo mjengon kwny huo mchakato
mwenye tetes juu ya hil atujuze" kwa wale tuliomba Transfer majb tnapewa lini? wengne tlipochaguliwa mwanzo tayar registration imeshaanza" na tnaogopa kwenda ktoa direct cost wakat hatujajua hatima ya maombi yetu"" msaada kwa mwnye tetes kuwa watatoa lin majbu
nliomba KCMC nursing "": iv mtu utaangalia wap kama umechaguliwa?
nliomba KCMC nursing "": iv mtu utaangalia wap kama umechaguliwa?
Hapo wanatoa kwa wote mkuu coz transfer bado inaendelea kwa baadhi ya vyuo ambae deadline trh 10
Wanaposema Bugando kuna Slots 10 za MD wanamaanisha nini watahiniwa?Hapo wanatoa kwa wote mkuu coz transfer bado inaendelea kwa baadhi ya vyuo ambae deadline trh 10
Wanaposema Bugando kuna Slots 10 za MD wanamaanisha nini watahiniwa?
hivi procedure za kuomba transfer umezitoa wapi mkuu?au ndo tuseme ulizisoma ukazielewa nusu?kukutoa hofu tcu walichopost kwny web yao ndo watakavyofanya mkuu...
sasa mkuu c ungefnguka tu kuwa watafnya iv "hapo ningekuelewa zaid"