Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,459
Nilikuwa naangalia kipindi cha suma jkt hapa tbc one, aise kuna matractor mengi sana, na kwa jinsi wanavyoyasambaza, nimependa kama yangesambazwa tz nzima ili kweli kilimo kwanza hicho kifanikiwe, na tugeuze tz iwe ya kijani kabisa. nawapa hongera viongozi wa selikali kwa suala hili, hata kama mimi si mwana ccm. Mungu ibariki Tanzania.